Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,781
- 3,074
Duniani kuna ubaguzi wa aina nyingi,
Kuna ubaguzi mkubwa kwenye rangi kwa baadhi ya maeneo.
Kuna ubaguzi wa dini pia.
Upo ubaguzi wa jinsia, kabila, elimu, na mengine.
Lakini kuna kitu kimoja ambacho hakina ubaguzi.
Kitu hicho ni FEDHA,
Hakuna mahali ambapo fedha inabaguliwa duniani.
Nenda popote duniani na watu watataka uwape fedha.
Uwalipe unaposafiri, unapokula, unapolala na mengine mengi.
Hakuna mtu atakuambia hataki fedha yako.
Hii ina maana kwamba, fedha ndiyo kitu pekee kinachotuleta pamoja, bila kujali dini, rangi au kabila.
Ukiwa na fedha, una nafasi ya kushirikiana na wengine.
Hili linaifanya fedha iwe ndiyo kitu muhimu kuliko vyote duniani, ukiondoa hewa unayopumua bure.
Ni muhimu ukawa na msingi sahihi wa kifedha.
Hivyo soma kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA ujifunze misingi sahihi ya kifedha itakayokutoa kwenye umasikini na madeni na kukupeleka kwenye utajiri na uhuru wa kifedha.
Kupata kitabu hiki, piga simu 0678 977 007.
Kuna ubaguzi mkubwa kwenye rangi kwa baadhi ya maeneo.
Kuna ubaguzi wa dini pia.
Upo ubaguzi wa jinsia, kabila, elimu, na mengine.
Lakini kuna kitu kimoja ambacho hakina ubaguzi.
Kitu hicho ni FEDHA,
Hakuna mahali ambapo fedha inabaguliwa duniani.
Nenda popote duniani na watu watataka uwape fedha.
Uwalipe unaposafiri, unapokula, unapolala na mengine mengi.
Hakuna mtu atakuambia hataki fedha yako.
Hii ina maana kwamba, fedha ndiyo kitu pekee kinachotuleta pamoja, bila kujali dini, rangi au kabila.
Ukiwa na fedha, una nafasi ya kushirikiana na wengine.
Hili linaifanya fedha iwe ndiyo kitu muhimu kuliko vyote duniani, ukiondoa hewa unayopumua bure.
Ni muhimu ukawa na msingi sahihi wa kifedha.
Hivyo soma kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA ujifunze misingi sahihi ya kifedha itakayokutoa kwenye umasikini na madeni na kukupeleka kwenye utajiri na uhuru wa kifedha.
Kupata kitabu hiki, piga simu 0678 977 007.