Kitu nimegundua furaha ya mwanaume haijawahi kuwa concern ya mwanamke

Stability

JF-Expert Member
Jan 30, 2020
308
715
Mwanamke anataka Status ya mahusiano yenu iulizwe kwa minajili ya jinsi mahusiano yenu yanavyo muaffect yeye bila kujali wewe.

Wanawake wamekuwa more selfish, na zaidi institutions hizi zinazidi kumuweka mwanaume katika pressure kubwa sana zidi ya mwanaume

Unaweza kuta Ustawi wa jamii wanakusumbua kuwa ni jukumu lako kulea mtoto na mwanamke uliozaa nae utafikiri ulimbaka huyu mwanamke wakati alijua anachokifanya.

Utafanya mengi kwa hawa ladies kwa maana unajali furaha yao, lakini shukrani yao kwako ni "kudemand more and more kutoka kwako". Atakupa leo good sex alafu mkimaliza tu anakuambia "bebi kesho unipe hela ya kusuka, nimepungukiwa 40,000".
 
Daah. Wanaume mjitafakari.
Dunia inawategemea kama viongozi/ vichwa lakini hamuijui nafasi yenu, hamkai katika nafasi yenu.

Mnalialia kugombania usawa wa kijinsia. Mnalialia eti wanawake wanapenda hela mnajisahau huyo unayemlalamikia sio MKE ni mwanamke ambaye hana malengo na wewe na pengine anajua unamsururu mrefu wa wanawake sasa kwanini asichukue chake mapema?

Wanaume mjitafakari....wanawake kutaka 50/50 hakutaisha kama na nyie mtaendelea kushadadia usawa wa kijinsia.
 
Daah. Wanaume mjitafakari.
Dunia inawategemea kama viongozi/ vichwa lakini hamuijui nafasi yenu, hamkai katika nafasi yenu.

Mnalialia kugombania usawa wa kijinsia. Mnalialia eti wanawake wanapenda hela mnajisahau huyo unayemlalamikia sio MKE ni mwanamke ambaye hana malengo na wewe na pengine anajua unamsururu mrefu wa wanawake sasa kwanini asichukue chake mapema?

Wanaume mjitafakari....wanawake kutaka 50/50 hakutaisha kama na nyie mtaendelea kushadadia usawa wa kijinsia.
Wewe kama sio demu basi ni shoga

Anyway

Hakuna mwanaume anaetaka 50 kwa 50

Ishu ni kuwa mwanaume ni mwanadamu kama mwanamke , vile mwanamke anapenda amani ya moyo vivyo hivyo mwanaume pia.

Tofauti na hapo, ni maneno yako
 
Wanawake wengi huwa wanaanzia katikati kufikiria Mambo yao.
Ndiyo maana wachache sana Wenye Fikra sahihi.
 
Daah. Wanaume mjitafakari.
Dunia inawategemea kama viongozi/ vichwa lakini hamuijui nafasi yenu, hamkai katika nafasi yenu.

Mnalialia kugombania usawa wa kijinsia. Mnalialia eti wanawake wanapenda hela mnajisahau huyo unayemlalamikia sio MKE ni mwanamke ambaye hana malengo na wewe na pengine anajua unamsururu mrefu wa wanawake sasa kwanini asichukue chake mapema?

Wanaume mjitafakari....wanawake kutaka 50/50 hakutaisha kama na nyie mtaendelea kushadadia usawa wa kijinsia.
Sawa lakini wanatakiwa watuchukulie kama watu, tuna hisia pia.
 
Back
Top Bottom