Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 581
Wajameni nawaletea picha ya kitu kilichotua Ngara na kiliaminiwa kuwa ni bomu kutoka Goma na mpaka sasa bado wajeda wetu wameshsindwa kukitambua. najua JF kuna wataalamu hu ambao bila chenga wanaweza kusema lolote