Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
Ndugu zangu ukitaka kufahamu mwanamke kama ni msafi au mchafu mara tu unapokutana nae mwangalie kucha za miguu yake jinsi zilivyo ndio tabia yake halisi.
Kucha za miguu ni kitu cha mwisho kwa mwanamke kuzihudumia na kuzishughulikia na istoshe kucha za miguu zinahitaji huduma na uangalizi wa ziada.
Kama mwanamke hatokua na wasi wasi juu ya kinyaa cha kucha zake za miguu na kutenga muda wa kushughulikia , basi usafi wake ni wa chini sana na hata sehemu zingine hawezi kuzisafisha vizuri.
Nikisema kucha zake sijamaanisha mikucha ya kubandika, wenye mikucha ya kubandika ndio hao wachafu zaidi mana mpaka kucha zao zimeoza ndio wakabandika za plastic.
Kucha za miguu ni kitu cha mwisho kwa mwanamke kuzihudumia na kuzishughulikia na istoshe kucha za miguu zinahitaji huduma na uangalizi wa ziada.
Kama mwanamke hatokua na wasi wasi juu ya kinyaa cha kucha zake za miguu na kutenga muda wa kushughulikia , basi usafi wake ni wa chini sana na hata sehemu zingine hawezi kuzisafisha vizuri.
Nikisema kucha zake sijamaanisha mikucha ya kubandika, wenye mikucha ya kubandika ndio hao wachafu zaidi mana mpaka kucha zao zimeoza ndio wakabandika za plastic.