Kongwamaji
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 560
- 145
Jiwe gizani hilo, ila litawabamiza wengi tu, we subiri, utaona tu!!
Nimecheka mpaka basi
Jiwe gizani hilo, ila litawabamiza wengi tu, we subiri, utaona tu!!
shanga nyingine kama uchafu... :becky:[/QUO]
Unawakera wapendwaze ujue eee
hahahaaaaa, mie sijali na sio mfuasi wa ziwepo au zisiwepo, ila zikizidi halafu ukute mtu anashindwa kuzimanage inaboa...
Pia kuna katrend ka kuiga mambo unakuta kajichanua kama kuku wa mtaa wa kongo halafu umbile nalo linashindwa kumlinda, utadhani bata mzinga alipita akichakura-chakura mbunye basi dah...
Shata na mahaba zina raha yake kuliko vya kuiga
mapenzi hayana SOP
Uzi mtamu lakini, habari zinawafikia walengwa
habari za siku wadau....
Leo nimeona niwape live hawa mademu wa dotcom bna......
Mademu wengine wana lawama sana....
Wakisikia boyfriend wake amecheat atapiga kelele...atamsuta
"umekosa nini mwanaume huridhiki,utamaliza nyama bucha ileile,kwani mi sikupiiii papuchi....si nakuuliza wewe hasidi fisadi namba 1 wa mapenzi usiyetosheka,kwani haikutoshi hii?"
anatokwa povu wakati in reality hakuna anachofanyaga...
Anachojua ni kubetua ile loki ya sidiria na kujilaza chanuu kusubiria mkwaju..
Baada ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya takataka... Mpaka majirani wanakereka bna....
Kazi yote ufanye wewe...sasa kuna wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe maana ukifika mlangoni unadakwa kabla hata hujavua viatu,unafinywa si kufinywa,unameng'enywa na mchanganyiko wa meno na kucha unabaki unaweweseka kama kondoo aliyesahau mlango wa banda..
khanga ikianguka mtoto ana shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua,mguu mmoja dirishani mwingine kwenye feni..ukija kutua unasindikizwa na busu la sikio unaambiwa poleeee...
Teh teh teh mapenzi haya.....
halafu unapewa juisi ya embe huku unakunwakunwa ulale...
Sasa wewe unabetua sidiria unatulia kama ndama mwenye mdondo...akimaliza unamwambia "sogea huko tulale unanibana"
shame on u... Huyo mwanaume
asipochepuka labda ni mhashamu askofu mwandamizi wa kigango cha mavurunza.
Ikikuuma iache ila ujumbe umefika.
sijaweza kusoma hadi mwisho
HONGERA KWA KUTOA MIPASHO....SHOST
Itakuwa umeelewa kabla hujamaliza.........hongera!
habari za siku wadau....
leo nimeona niwape live hawa mademu wa dotcom bna......
Mademu wengine wana lawama sana....
wakisikia Boyfriend wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsuta
"Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii papuchi....si nakuuliza wewe Hasidi Fisadi namba 1 wa Mapenzi usiyetosheka,Kwani Haikutoshi hii?"
Anatokwa Povu wakati In Reality HAKUNA ANACHOFANYAGA...
anachojua ni Kubetua ile LOKI ya Sidiria na Kujilaza Chanuu kusubiria Mkwaju..
Baada ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya takataka... mpaka majirani wanakereka bna....
kazi yote ufanye wewe...Sasa kuna wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe maana Ukifika mlangoni unadakwa kabla hata hujavua viatu,Unafinywa Si kufinywa,Unameng'enywa na mchanganyiko wa Meno na Kucha unabaki unaweweseka kama Kondoo aliyesahau Mlango wa Banda..
khanga ikianguka Mtoto ana Shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua,Mguu mmoja dirishani mwingine kwenye Feni..Ukija kutua unasindikizwa na Busu la Sikio unaambiwa Poleeee...
teh teh teh mapenzi haya.....
halafu unapewa Juisi ya Embe huku unakunwakunwa Ulale...
Sasa wewe unabetua Sidiria unatulia kama Ndama mwenye Mdondo...Akimaliza unamwambia "SOGEA HUKO TULALE UNANIBANA"
shame on u... huyo mwanaume
Asipochepuka labda ni Mhashamu Askofu Mwandamizi wa Kigango cha Mavurunza.
ikikuuma iache ila ujumbe umefika.
kweli .mapenzi hayana SOP
habari za siku wadau....
leo nimeona niwape live hawa mademu wa dotcom bna......
Mademu wengine wana lawama sana....
wakisikia Boyfriend wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsuta
"Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii papuchi....si nakuuliza wewe Hasidi Fisadi namba 1 wa Mapenzi usiyetosheka,Kwani Haikutoshi hii?"
Anatokwa Povu wakati In Reality HAKUNA ANACHOFANYAGA...
anachojua ni Kubetua ile LOKI ya Sidiria na Kujilaza Chanuu kusubiria Mkwaju..
Baada ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya takataka... mpaka majirani wanakereka bna....
kazi yote ufanye wewe...Sasa kuna wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe maana Ukifika mlangoni unadakwa kabla hata hujavua viatu,Unafinywa Si kufinywa,Unameng'enywa na mchanganyiko wa Meno na Kucha unabaki unaweweseka kama Kondoo aliyesahau Mlango wa Banda..
khanga ikianguka Mtoto ana Shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua,Mguu mmoja dirishani mwingine kwenye Feni..Ukija kutua unasindikizwa na Busu la Sikio unaambiwa Poleeee...
teh teh teh mapenzi haya.....
halafu unapewa Juisi ya Embe huku unakunwakunwa Ulale...
Sasa wewe unabetua Sidiria unatulia kama Ndama mwenye Mdondo...Akimaliza unamwambia "SOGEA HUKO TULALE UNANIBANA"
shame on u... huyo mwanaume
Asipochepuka labda ni Mhashamu Askofu Mwandamizi wa Kigango cha Mavurunza.
ikikuuma iache ila ujumbe umefika.