Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Ndugu zangu madokta ndani ya JF. Jana usiku wakati naenda haja kubwa nilihisi tumbo la kuharisha ambapo wakati ikitoka nilihisi kuna kitu kinachoma na kusababisha maumivu makakali sana. Nilipojaribu kugusa nikakuta kitu kigumu kama mfupa kirefu kidogo. Hata hivyo pamoja na kujari kukitoa nilishindwa na kuamua kukirudisha ndani zaidi. Nilipofanya hivyo maumivu yakapungua kidogo. Mpaka sasa naogopa kama ntashikwa na haja sijui itakuaje. Naomba huduma ya kwanza tafafadhari.