Kitu kidogo tu wasema LOL!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,025
uploadfromtaptalk1354037539182.jpg Msidanganyike kusema msichokijua!
 
Sasa hivi imekuwa taabu kweli... Inakuwa kana kwamba katika kila tufanyalo tunatafutiwa pa kupewa marufuku. Kuna ujumbe nimepta kuwa 'Nokia' stands for 'No God' na kuwa wale wanao peana mkono mwanamke na mwanaume wana pongezana kwa huo ujumbe wa hamna Mungu. Hao woote ni Freemasons.... Nilishindwa la kujibu... Niliishia kujibu 'LOL', Nayo naambiwa haifia... Duh! hahaha Kaaz ipo...
 
Kuna clip nimetumiwa mahubiri ati sheikh anasema wimbo i dont wanna be under.umbrella ellaa ellaa, kuwa ni wa kumkana Mungu. Huyu Mungu tunamsaka hivi siku ya kiama akisema tumeloba stepu patachimbika. Wifi AshaDii nakutumia clip uweke, unajua mchina tena.
 
Last edited by a moderator:
Kuna clip nimetumiwa mahubiri ati sheikh anasema wimbo i dont wanna be under.umbrella ellaa ellaa, kuwa ni wa kumkana Mungu. Huyu Mungu tunamsaka hivi siku ya kiama akisema tumeloba stepu patachimbika. Wifi AshaDii nakutumia clip uweke, unajua mchina tena.


hahaha! Weka bana nione...
 
LAUGH OUT LOUD...., LOL...................!

LOL..., ina maana zaidi ya moja! LOL
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom