Bango lenye picha yako analo BwanaKaz iendelee
Asantee, ipite tu hii siku.....poleee
Wewe unateswa na Nini kwani?watu wanateseka na mapenzi aghaaaaa!!!
Muhimu uhaiAiseee Mungu atakupa Mtoto?
Kopa limejaaIn short this year Mahaba kwangu yamejaaaa
poleeeeh.Umenikumbusha valentine ya mwaka 2020, Nilijitutumua nikamuandikia ujumbe babe nikamuandalia dinner.
Kilichotokea dinner asiile, kwenye simu yake amemuwish babe wake alafu akamchunia, mimi io siku nikaninuniwa.
Nikapigwa na kitu kizito kichwani
Maisha gani hayo yakukaa peke ako kama DiabaKuna maisha nje ya mahusiano ya mapenzi.
Ndyo. Full kuenjoy yaan no stress.Maisha gani hayo yakukaa peke ako kama Diaba
Ndyo. Full kuenjoy yaan no stress.
Anaowapenda wamemfanya akusahauNipo hapa nalia kwa vibration mwanaume hatoi machozi
Jaman bia tamuu
Mnooo!sina hela ningefanya kama ZamaradiKopa limejaa
Pole dearNimenuniwa
Wanaume wengine bana