EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
- Thread starter
- #41
mzee wa kujilipuaBapa mezani...
mzee wa kujilipuaBapa mezani...
wa kwako au
unaogopa mpenzi mwingine au wazazi wasiione??Barua ya mapenzi
Funguo za kule nakokwenda!!Kuna kitu ambacho ukikisahau Mahali iwe nyumbani, Ofisini, au mahali popote lazima uahirishe uendako ukirudie?
MI NKISAHAU SIMU HOME HATA KAMA SIPO MBALI NA NAENDA JOB SIIRUDII AISEE NTAKUTA MISSED CALLS NA SMS
- ATM CARDS
- KEYS
- WALLET
- DRIVING LICENCE
- LAPTOP
- TABLET
- MOBILE PHONES
- MONEY
- PHONE CHARGER
- au chochote.
Fire extinguisher. Yaani toka tukio la Msamvu litokee siachi kutembea na mtungi wa kuzimia moto (fire extinguisher) mgongoni.
CondomKuna kitu ambacho ukikisahau Mahali iwe nyumbani, Ofisini, au mahali popote lazima uahirishe uendako ukirudie?
MI NKISAHAU SIMU HOME HATA KAMA SIPO MBALI NA NAENDA JOB SIIRUDII AISEE NTAKUTA MISSED CALLS NA SMS
- ATM CARDS
- KEYS
- WALLET
- DRIVING LICENCE
- LAPTOP
- TABLET
- MOBILE PHONES
- MONEY
- PHONE CHARGER
- au chochote.
ofisi kuna walinzi obvious labda homeFunguo za kule nakokwenda!!
Wengine huwa mnasahau mawigi yenuFunguo, wallet, simu, leseni, earphone na charger.
Vitu muhimu sana hivyo kwangu.
umetisha mkuu unanikumbusha usemiIla mimi kaka nikimuacha wife peke yake simrudii, Nikiiacha simu peke yake siirudii. Nikiacha simu na wife lazima nirudie kimoja wapo.
funguo za kuingia ofisini kwangu....hizo main office hazinihusuUnaishi mwenyewe mkuu?? kama
ofisi kuna walinzi obvious labda home
Asilimia kubwa za wavaa earphone ni waangalia pornograph..SA WE ZA NINI MKUU HADI UZIRUDIE SIMU HAINA SPIKA NINI??
kondom unaweza kupata mapokezi - labda simu kama kuna vimeo then the Wife ataikagua na utakuta ka faint.. bora ukarudi.1- CONDOM.......mimi nikiwa naenda kugegeda halafu nijikute nimeshau, hata kama tumeshavua lazima nivae nikatafute.......
2- SIMU......hata kama nimeenda kuoga, nimeshavua nguo halafu nijikute nakumbuka simu nimeiacha ndani lazima niirudie, maana najua ikidondokea mikononi mwa wife hata kwa zile dakika 10 za mimi kuwa bafuni basi ni kesi nzito sana kuliko hata ya kupinga kuvuliwa ubunge
HIVI WATU MNA SHIDA GANI NA WAKE NA SIMU ZENU??1- CONDOM.......mimi nikiwa naenda kugegeda halafu nijikute nimeshau, hata kama tumeshavua lazima nivae nikatafute.......
2- SIMU......hata kama nimeenda kuoga, nimeshavua nguo halafu nijikute nakumbuka simu nimeiacha ndani lazima niirudie, maana najua ikidondokea mikononi mwa wife hata kwa zile dakika 10 za mimi kuwa bafuni basi ni kesi nzito sana kuliko hata ya kupinga kuvuliwa ubunge
Halafu kweli aiseeAsilimia kubwa za wavaa earphone ni waangalia pornograph..
Mdomo unanuka nini mkuuA pack of chewing gum...