Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Mimi hata nikikumbuka nikiwa nimeshafunga mlango naipotezeaPia huwa naipotezea nikiwa nshatoka zaidi ya 1km toka home.
Mimi hata nikikumbuka nikiwa nimeshafunga mlango naipotezeaPia huwa naipotezea nikiwa nshatoka zaidi ya 1km toka home.
wazinzi utawajua tuItategemea hicho kitu nimekisahau sehemu gani ila kama nimesahau simu nyumbani lazima niirudie kwasababu najua nikiiacha yatakayotokea ni mazito🤣🤣
so unatembea nayo kwenye gari au unabeba kama diversFire extinguisher. Yaani toka tukio la Msamvu litokee siachi kutembea na mtungi wa kuzimia moto (fire extinguisher) mgongoni.
we jamaa mtu wa kujilipua sana yaan dont carenarudia kilicho na umhimu na chenye gharama, mbali na hapo huwa sirudi;
nakumbuka enzi zile kurenew lain ilikuwa chap, ikitokea nimesahau simu ikiwa ya touch na renew mbele kwa mbele;
ATM card kama ina hela sawa lakini kama iko dormant ya nini potelea mbali mbele kwa mbele nitaandika lost report, funguo nayo kama kufuri la elfu 2000 navunjaga kuliko kutumia gharama kubwa kurudi,
Pesa ikisahaulika maanake unayo nyingine ..
Kuna kitu ambacho ukikisahau Mahali iwe nyumbani, Ofisini, au mahali popote lazima uahirishe uendako ukirudie?
MI NKISAHAU SIMU HOME HATA KAMA SIPO MBALI NA NAENDA JOB SIIRUDII AISEE NTAKUTA MISSED CALLS NA SMS
- ATM CARDS
- KEYS
- WALLET
- DRIVING LICENCE
- LAPTOP
- TABLET
- MOBILE PHONES
- MONEY
- au chochote.
pamoja sana mkuuCharger na simu, huwa siiachi nyuma hivyo viwili. My best friends all the time.
Siku nikisahau Pesa nadhani ntaanza trip za kwa Psychiatrist instantly maana ni ngumu kusahau.
Haha mkuu umenichekeshaNauli ya mwendokasi lazima nirudie maana nitaendaje kazini? wakati wa kurudi sio issue maana nitapata kazini.
Kuna siku nilisahau simu wakati naenda kazini, nilivumilia siku nzima na niliporudi nyumbani kutoka kazini sikukuta missed call wala msg yoyote
Yaani kama mimi vile.Earphone
SA WE ZA NINI MKUU HADI UZIRUDIE SIMU HAINA SPIKA NINI??Earphone
KANGI LUGOLANikisahau tu ilani ya chama lazima nirudi kuchukua hata kama nimefika nilipokuwa naenda.
BAHARIAI second this Mwnaume Kamili anayejitambua hatakiwi kuikosa hii kwenye Gari au wallet (Ila isikae mfuko wa Nyuma) !
Pole sana mkuumiwani lazima nirudi kichwa kikianza kuuma kazi hazifanyiki tena