Kitu gani Serikali inaweza kusema imewekeza Iramba?

MAPUMA MIYOGA

JF-Expert Member
Jan 30, 2013
3,792
2,362
Toka niko mtoto na sasa ni mtu mzima, late 30's sijawahi kuona uwekezaji wowote wa Serikali katika wilaya Iramba.

Kumekuja habari za zahanati na shule za secondari, ni wananchi ndio waliouza kuku zao kujenga shule zile na zahanati.

Miundombinu kama ya kilimo ndio kabisa hakujawahi kuwa hata na mbolea za ruzuku kama zile zinatolewa mikoa mingine, wananchi wanahangaika kama hawako Tz hii hii.

Shule za zamani kama Lulumba na Tumaini ambazo ni miaka ya early 70's mpaka leo hata ukarabati tu haufanyike, watoto wanaishi kwenye mabweni kama mapango.

Nikiangalia mikoa mingine ujenzi wa miundombinu umepamba moto, kuna shule za kiwango cha juu sana zinajengwa kwa pesa ya Serikali, nauliza huku Iramba sio Tanzania hii hii?

Kuwaona mawaziri au Rais mpaka uchaguzi waje kuomba kura, kwanini huu ubaguzi?

Iramba tunahitaji na sisi tule sehemu ya mkate wa nchi hii sambamba na wengine katika nchi.
 
Tupo kwenye right track!!!!!!
How??
Kuna uhitaji lakini haupewi kipaumbele.
Kuna sehemu zingine zinapewa kipaumbele mpaka inakera wakati maeneo kama Iramba yakipuuzwa.
Hata walimu wa kufundisha shule za IRAMBA hakuna, ufaulu unakuwa wa chini na hakuna anayejali.
 
Siku chagueni mbunge wa upinzani muone serikali itakavyopambana kurudisha jimbo kwa kuleta kila aina ya maendeleo.
 
Siku chagueni mbunge wa upinzani muone serikali itakavyopambana kurudisha jimbo kwa kuleta kila aina ya maendeleo.
Kwa siasa hizi za kishamba, sijui kama hilo linawezekana. Inaweza kuwa maumivu mara 100.
 
Toka niko mtoto na sasa ni mtu mzima, late 30's sijawahi kuona uwekezaji wowote wa Serikali katika wilaya Iramba.

Kumekuja habari za zahanati na shule za secondari, ni wananchi ndio waliouza kuku zao kujenga shule zile na zahanati.

Miundombinu kama ya kilimo ndio kabisa hakujawahi kuwa hata na mbolea za ruzuku kama zile zinatolewa mikoa mingine, wananchi wanahangaika kama hawako Tz hii hii.

Shule za zamani kama Lulumba na Tumaini ambazo ni miaka ya early 70's mpaka leo hata ukarabati tu haufanyike, watoto wanaishi kwenye mabweni kama mapango.

Nikiangalia mikoa mingine ujenzi wa miundombinu umepamba moto, kuna shule za kiwango cha juu sana zinajengwa kwa pesa ya Serikali, nauliza huku Iramba sio Tanzania hii hii?

Kuwaona mawaziri au Rais mpaka uchaguzi waje kuomba kura, kwanini huu ubaguzi?

Iramba tunahitaji na sisi tule sehemu ya mkate wa nchi hii sambamba na wengine katika nchi.
Yule jamaa aliyepiga picha watoto wamekalia mawe jimbo la Mwigulu hivi bado yuko hai ?
 
Iramba inaanzia wapi mpaka wapi?

Sekenke sasa si mnapita kwa raha??

Idadi ya wasafiri waliongezeka kwa kuwa kuna rami, wanaonunua mafuta kuanzia shelui mpaka iguguno si mnafaidi??

Idadi ya big tracks zinazolala vijijini kwenu zimekuja kwa mazingaombwe????

We travelled through Singida for so many years, tunayaona mabadiliko. Kuna maendeleo.

Zamani ukisikia njaa lazima Singida na wilaya zake zimo, but siku hizi huwezi sikia kitu kama hicho, wamebaki omba omba wachache pale sukamahela.

Iramba nkulu kuliko tanzaniaaaaa!! Shelui Irambaaa, Kiomboi Irambaaa, Misigiri irambaaa, Kyengege... Irambaaaa,
 
Iramba inaanzia wapi mpaka wapi?

Sekenke sasa si mnapita kwa raha??

Idadi ya wasafiri waliongezeka kwa kuwa kuna rami, wanaonunua mafuta kuanzia shelui mpaka iguguno si mnafaidi??

Idadi ya big tracks zinazolala vijijini kwenu zimekuja kwa mazingaombwe????

We travelled through Singida for so many years, tunayaona mabadiliko. Kuna maendeleo.

Zamani ukisikia njaa lazima Singida na wilaya zake zimo, but siku hizi huwezi sikia kitu kama hicho, wamebaki omba omba wachache pale sukamahela.

Iramba nkulu kuliko tanzaniaaaaa!! Shelui Irambaaa, Kiomboi Irambaaa, Misigiri irambaaa, Kyengege... Irambaaaa,
Mkuu hayo unayotaja ni maendeleo ya watu na nguvu zao. Hio lami si kitu kwa maendeleo ya iramba. Na wengeweza wangeweza kupaa wakifika Iramba maana si kwa chuki hii.
 
Mkuu hayo unayotaja ni maendeleo ya watu na nguvu zao. Hio lami si kitu kwa maendeleo ya iramba. Na wengeweza wangeweza kupaa wakifika Iramba maana si kwa chuki hii.


Wewe unataka serikali iwekeze nini au kwenye mradi gani hapo Iramba???

Maendeleo ya watu yanakujaje???

Yes lazima ziwe nguvu zao, wewe ulitakaje labda???
 
Mkuu hayo unayotaja ni maendeleo ya watu na nguvu zao. Hio lami si kitu kwa maendeleo ya iramba. Na wengeweza wangeweza kupaa wakifika Iramba maana si kwa chuki hii.


Watu wanaweka Sera na taratibu za kubana mafuta kutoka nje ili muuze alzeti ghali unalalamika. Unataka wawekeze nini?

Huko kwenu kumekuwa source nzuri ya mabinti wa kuuza bar, wazuieni huko huko walime alizeti na mahindi.
 
Cc [HASHTAG]#mwigulu[/HASHTAG] nchemba na [HASHTAG]#kitila[/HASHTAG] mkumbo
 
Mkuu kuwa makini, Mbunge wa jimbo hilo anajulikana, kuna blogger alipiga picha wanafunzi wakiwa wamekaa chini tena nje ya darasa wakifanya mitihani kutokana na uhaba wa madarasa na MADAWATI-ALIKAMATWA KWA SPEED YA 5G!!!
 
Back
Top Bottom