hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Tena ni single button ๐๐๐๐Wewe ni single mkuu
Tena ni single button ๐๐๐๐Wewe ni single mkuu
DahhhNiliposhika cm yake ndio nikagundua kumbe yeye yupo single.
Yaani kuna jamaa mwingine amemtongoza na kumuuliza kuhusu mahusiano yake, demu anajibu eti kwasasa ishu za wanaume ameziweka pembeni, anaangalia maisha yake.
Jamaa akaomba nafasi akapewa. Nikabaki najiuliza, kama yeye yupo single, mimi ni nani kwake?
Unge mwambia afue mshuka kwanza.
Ha ha ha haHuwa sinatabia ya kupekua sim ya mpenz wangu ila siku moja nikamwomb simu ili nirecord kitu. Nilipokua narecord ikaingia text ikadisplay kwa juu ilikua tata kidogo moyo ukashtuka ikabid niende kwenye conversation lahaula.. mwanamke ananunua dawa za kupunguza K kwa hiyo anapewa maelekezo jinsi ya kutumia na anaelezea jinsi alivyofumuliwa na jamaa mwenye mguu wa mtoto.
sikuamin macho yangu kwa alivyokua mstaarabu kwa nje. Niliamua kukaa pemben
Unazima taaa,unaendelea kula embe bovu kuogopa kuwaona funza ,ni ujinga/kutojua maana utaumwa kwa ugonjwa piaunataka kujitakia magonjwa ya moyo na presha zisizo na ulazima unakaguaje simu ya mpenzi wako c ndo mwanzo wa kulazwa huo
achana nayo akifanya afanye ww usijue ukitaka kushika shika hizo simu tutakuzika kabla ya muda wako
Umekuwa, hongera...Mkuu mimi sinaga presha nisha fumania demu wanguu analiwa na jamaa ndani baada ya mimi kuagaa nasepa nitarudii saa 6 usiku nikarudi saa 3 nakuta yuko ndani wana vurugana... Na sikufanya vurugu wala nini zaidi ya kumuacha aendee tu....
Mi moyoo uko simple sana.
Sent using mt4 app
Ila imekusaidia kutopoteza mdaHaya mambo haya,kuna siku my ex boyfriend alifuma messages za mtu ndiyo ananipiga saundi akamind mbaya, nikajaribu kumuelezea haelewi mwishowe ikaisha ila tuligombana kiasi.
Sasa siku na yeye nacheki nakutana na anachat na mdada wamepeana ujauzito kumbe,dooh ilikua maumivu mno, na hadi sahivi ni wazazi, nimekoma kukagua simu ya mtu mimi
Of course mahusiano yaliishia hapo, kama nisingegundua mapema sijui nahisi ningekuja kufahamu baadaye wakati ishakua too late, ila that day sikulala kabisa, naimagine hivi ni kweli ama??๐ aiseeIla imekusaidia kutopoteza mda
Uliyenae na mipango ya kuish pamoja,lazima ukague,.ila kama huna mpango usijague....Mvulana ndio hupekua simu wa mwenzi,mabaharia huo muda sisi ni kugegeda tu.
Hukumkuta bikra sasa umchunguze wa nini
Simu ya demu wako kaandika hivoAisee sipendi tumia lugha ya matusi hapa jf ila hii inabidi tu niandike.
kuna siku nipo job nashangaa text inasema "Leo nikija usiniombe nyuma bwana"
daah nikaona hapa sina demu.
We jindanganye mwenzio ana kinokia tochi ko huwa anakupa tu hiyo smart kukupoteza maboya, be carefulWangu ananiachia simu yake siku nzima nacheki cheki tu na kuperuzi kama simu yangu haina chaja mda huo
Kwa Kweli kuna wanawake waaminifu na wenye upendo.
We jindanganye mwenzio ana kinokia tochi ko huwa anakupa tu hiyo smart kukupoteza maboya, be careful
Ungeteneza mazingira ya kumkopa kisha unamtema na aumlipi
Mapenzi ya kitoto,unakagua simu ili iweje...ukifikia huko basi hakuna umuhimu wa kua pamoja mana hamuaminiani.Uliyenae na mipango ya kuish pamoja,lazima ukague,.ila kama huna mpango usijague....