Kitu gani kwenye simu ya mpenzi wako ulipekuwa kikakustaajabisha?

Haya mambo haya,kuna siku my ex boyfriend alifuma messages za mtu ndiyo ananipiga saundi akamind mbaya, nikajaribu kumuelezea haelewi mwishowe ikaisha ila tuligombana kiasi.

Sasa siku na yeye nacheki nakutana na anachat na mdada wamepeana ujauzito kumbe,dooh ilikua maumivu mno, na hadi sahivi ni wazazi, nimekoma kukagua simu ya mtu mimi
Babe Ila yangu utaishika sanaaaa yaani
 
Hayo Ndo Maneno! Yaan Simu Ya Mke Wangu (nimenunua Mimi) Halafu Nishindwe Kukagua Kuondoa Virus Nyemelezi!
Mkuu asikudanganye mtu, wewe kagua ipasavyo. Tena ukipata kitu usimjulishe kama umepata kwenye simu yake, anaweza badili technic.
Sisi na watu wetu wote hatujielewi, unaweza ukampa kila kitu, ukadakwa na kazi wiki tu, ukashindwa kumpa attention anayohitaji. Mwenzako akaweza kumpa attention, atasahau yoooote uliyomfanyia wewe na kuhamia kwenye penzi jipya
 
Enzi za ujana wangu..niliwahi kukuta sms kwenye simu ya my first ..sms za mwanadada alikuwa anasoma nae huko mkoani boarding ..mdada analilia penzi la mchizi wangu ..mchizi anamjibu kikavu ile mbaya..mdada anajibebisha hadi huruma..alafu tulikuwa tumetoka kupiga game tuko halftime dah!..mood ilikata kabisa nikavaa nguo nikasepa zangu home..alisota week mbili kuomba msamaha..tangu hapo alikiwa akinipa simu yake sitaki.
 
Sasa kosa la mchzi ni lipi????
Enzi za ujana wangu..niliwahi kukuta sms kwenye simu ya my first ..sms za mwanadada alikuwa anasoma nae huko mkoani boarding ..mdada analilia penzi la mchizi wangu ..mchizi anamjibu kikavu ile mbaya..mdada anajibebisha hadi huruma..alafu tulikuwa tumetoka kupiga game tuko halftime dah!..mood ilikata kabisa nikavaa nguo nikasepa zangu home..alisota week mbili kuomba msamaha..tangu hapo alikiwa akinipa simu yake sitaki.
 
Mkuu mimi sinaga presha nisha fumania demu wanguu analiwa na jamaa ndani baada ya mimi kuagaa nasepa nitarudii saa 6 usiku nikarudi saa 3 nakuta yuko ndani wana vurugana... Na sikufanya vurugu wala nini zaidi ya kumuacha aendee tu....

Mi moyoo uko simple sana.

Sent using mt4 app
Unge mwambia afue mshuka kwanza.
 
Kuna muda nilikuwa na mahusiano na mkaka fulani Hivi..alikuwa anapenda kukagua simu yangu jamani..namimi sikiwa na wasi sababu sikuwa na Cha kuficha..Basi bwana siku moja tukiwa kwake katika story za hapa na pale akawa ameshika simu yake Kuna picha tulipiga siku za nyuma nikawa nataka kuziona..heh!! So huwa Kuna mafaili ukifungua sehemu ya picha kama WhatsApp au camera..kupiga jicho kwenye file la what'sapp nakutana na picha siielewi..si kiherehere Changu bwana nataka nizione..uwiiii nikakutana na picha hadi video za wadada wapo uchi..na ni wengi si mmoja na kibaya zaidi ndiyo wale wa wifi wifi Mara best..ile siki nilichoka ingawa sikuonyesha action yoyote ile..nilivyotoka pale sikumtafuta tena .
 
Yeye kuchat tu na yule mdada ni kosa..Sasa mbaya zaidi ilikuwa inaniumiza kuhisi labda washakulana maana mdada alikuwa anasema amemiss kumfulia mashati ya shule.. khaa
Duuh huwa inatokea may b kama enzi hizo jamaa bado alikuwa anasomaa... Ila kama mmekutana watu wazima kila mtu ana past history ingekuwa mwana ndo anamlazimisha game demu ningesema kwelii ..
 
Niliposhika cm yake ndio nikagundua kumbe yeye yupo single.

Yaani kuna jamaa mwingine amemtongoza na kumuuliza kuhusu mahusiano yake, demu anajibu eti kwasasa ishu za wanaume ameziweka pembeni, anaangalia maisha yake.

Jamaa akaomba nafasi akapewa. Nikabaki najiuliza, kama yeye yupo single, mimi ni nani kwake?
😀😀😀😀mpenzi mtazamaji
 
Habari wana JF kila abiria achunge mzigo wake! Ushindani ni mkubwa sana haswa ukiwa na mwanamke mkali

Mwanawake wakali wana pitia visha wishi vingi sana ila kusema ukweli mwanamke yeyote mwenye msimamo alipitia vishawishi vingi au asha kuwa muhanga wa maamuzi ya kijinga huko nyuma.

Kuna siku nilikagua simu ya ex wangu nilichokikuta ni cha ajabu sana. Naweza kusema hakuna mwanamke asiye piga picha za utupu.

Naongelea wadada sio wamama. Hili rika lina tatizo sana. Mbaya zaidi uki kagua na kugundua alipiga na kutuma kwa watu fulani.

Nachotaka kusema wanaume tuwe na tabia ya kukagua simu za mademu zetu mara kwa mara. Hii itakusaidia kujua mkeo ana wasiliana na nani na anatumiaje mtandao wake wa kijamii vinginevyo utakuwa una hudumia huku wenzako wakijilia bure
Unajitafutia Machozi ya Bure
 
unataka kujitakia magonjwa ya moyo na presha zisizo na ulazima unakaguaje simu ya mpenzi wako c ndo mwanzo wa kulazwa huo

achana nayo akifanya afanye ww usijue ukitaka kushika shika hizo simu tutakuzika kabla ya muda wako
Ulazwe kwanini huo ni udhaifu ..ni muhimu kuikagua ujue anakuchukuliaje isijekuwa unajipa matumaini kuwa unampenzi anaye kupenda kumbe mwenzio anakuchukulia kuwa ni house boy/house girl wao
 
Mwingine nilishika simu yake baada ya kulala aiseee sitakaa ni sahauuu.

Nimekuta ana chat na best yanguu na walikuwa wana chat sex issues na kuhusu siku waonane ampe tundaa.

Nika mfata jamaa nika mchana akakubalii akadaii kuwa manzi ndo analeta shoboo nikamuulizaa nikuachiee uishii naee mi sitakuwa na neno akakataa akasema yeye alitaka kupita tu.

Siku kaa hata week yule manzi nika tupa kule.

Fikiria unakuta msg ime ongeleaa jinsi atakavyo mpiga BJ jamaa kama anavyi fanya siku zote.

Wanawakee ni noma

Sent using mt4 app
😀😀😀😀😀kmmk
 
Siwezi kukagua kagua simu ya mpenzi wangu maake najua tafanya kitu kibaya Sana likitokea la kutokea......
Niliwahi kukagua kwa ex wangu, alikuwa na tabia ya kuizima akija kwangu..nilichokikuta sikuamini, zile sms na alikuwa na mahusiano na mchungaji wa kanisa flani tulipokuwa tunasali....nilimuacha yeye na kanisa nikahama😁😁😁
😀😀😀😀😀ayeee
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom