King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,614
- 68,543
Kama nipo mbali naye basi atakuwa anapiga simu sana ,au awe ananiPEA bila kumuuliza.
Ananijulia hali kila mara,ananiuguza nikiumwa, anatabasamu akiniangalia, ananikiss kila wakat na ananiambia maneno matamu tukinyanduana, ntamspoil huyu mtt wa mwanamke mwenzangu jama heh ngoja nivunje kikoba!!!
khaaaaahnilikuw namgegeda ile ile nakarbia kumwaga nikajikuta naropoka aminaa namwagaa wakati sio jina lake ,alinimind Sana akidai nmevutia hisia mwingine ndo nikamwaga,nimemuomba msamaha amenisamehe tunaendelea kugegedana fresh,term hii siropoki tena
kumspoil muhimu bana kama anastahiliWoyooonimependa hapo kuvunja vikoba tu kuna mtoto wa mtu ajiandae kula mema ya vikoba savings