Kitu gani kinakupa uhakika kuwa unapendwa kweli na mwenza wako?

Ananijulia hali kila mara,ananiuguza nikiumwa, anatabasamu akiniangalia, ananikiss kila wakat na ananiambia maneno matamu tukinyanduana, ntamspoil huyu mtt wa mwanamke mwenzangu jama heh ngoja nivunje kikoba!!!

Woyooonimependa hapo kuvunja vikoba tu kuna mtoto wa mtu ajiandae kula mema ya vikoba savings
 
nilikuw namgegeda ile ile nakarbia kumwaga nikajikuta naropoka aminaa namwagaa wakati sio jina lake ,alinimind Sana akidai nmevutia hisia mwingine ndo nikamwaga,nimemuomba msamaha amenisamehe tunaendelea kugegedana fresh,term hii siropoki tena
khaaaaah
 
Back
Top Bottom