Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,603
Wachawi ingieni kwa FasiInabidi yawe ruptured
Wachawi ingieni kwa FasiInabidi yawe ruptured
Wakati huo hujui usiku wa jana yake au jana mchana amefanywa nini.Kwanza atakutafuta kila mara, atatamani kuongozana nawewe, na ukiwa naye tabasamu haliishi yaani kupendwa raha wewe
Au hapo napo sipendwi ndugu zangu
Unapendwa sana!na kaona una sifa zote zakuwa baba, something assures her that you can be a good provider kwenye matunzo ya mtotoAu hapo napo sipendwi ndugu zangu
hahah kitu pekee mwanamke anaweza mfanyia mtu ampendae ni hikoUnapendwa sana!na kaona una sifa zote zakuwa baba, something assures her that you can be a good provider kwenye matunzo ya mtoto
Ewaaah!kwahiyo tulia hapohapohahah kitu pekee mwanamke anaweza mfanyia mtu ampendae ni hiko
We hutaki mtoto mami?Ewaaah!kwahiyo tulia hapohapo
Mmh jamani taratibu msiingizane chaka!!!Unapendwa sana!na kaona una sifa zote zakuwa baba, something assures her that you can be a good provider kwenye matunzo ya mtoto
Namtaka hata sasa,ila kupata baba bora ndo mtihaniWe hutaki mtoto mami?
Mmmh ongeza sauti huku nyuma hatusikiiihahah kitu pekee mwanamke anaweza mfanyia mtu ampendae ni hiko
Ni kweli, tuko wachache sana sikuhizi! So nafasi bado iko wazi bila shakaNamtaka hata sasa,ila kupata baba bora ndo mtihani
Ni kweli,hayo yote yanajulikana ndo maana nikasema bibie kamuona anaweza toa huduma akiwa babaMmh jamani taratibu msiingizane chaka!!!
Sio kila anaeomba mimba ndio kakupenda, wengine wanataka uhakika wa maisha tena kama mwanaume ana kipato ooh raia inaganda hapo kama imegundishwa!
Angalizo tu lakini.
Hahahahaaa unataka uzalishe wanawake wengi kwa mpigo au?Ni kweli, tuko wachache sana sikuhizi! So nafasi bado iko wazi bila shaka
Vingi sanaView attachment 1741024
Habari wana JF,
Kumekuwa na tafsiri nyingi tofauti juu ya kupendwa, hebu kama wewe ni mwanaume au mwanadada tuelezane ni mambo gani yanaweza kukuhakikishia kwamba unapendwa kwa dhati na mwenza au mpenzi wako...
Pia soma: Do you feel LOVED?
Sipendi mtoto mzuri ateseke bila kupata farajaHahahahaaa unataka uzalishe wanawake wengi kwa mpigo au?