Hahaha! Mi napenda wakali na wakorofi lakini nakuvulia kofia we chiboko lol!
Duuuh,Hayo ni majanga.Ki-msingi jamani ni kuombeana tu ili kupunguza mapungufu ya kila mtu alikokuzwa.Kwani kila mtu anamatatizo yake katika mahusiano.Isipokuwa mwanaume ameumbwa awe kiongozi wa mwanamke.Lakini mume asimnyanyase mke.Wala mke asimnyanyase mke.Hapo mambo yatakuwa bambam kabisa.
Sina!!..
nampenda sana mchumba wangu kwa sababu ya tabia zake,mpole,msikivu,nikipanda ushuka,mvumilivu sijapata ona na mwaminifu japo simzuri wa uso ila undan wake ulinifanya nibadilike kwa kumuonea huruma da so much i love this lady
Mi napenda mwanaume anayejiamini na muelewa Basi kilakitu kitaenda mwake
Funguka usiogope!!!!!!
nampenda sana mchumba wangu kwa sababu ya tabia zake,mpole,msikivu,nikipanda ushuka,mvumilivu sijapata ona na mwaminifu japo simzuri wa uso ila undan wake ulinifanya nibadilike kwa kumuonea huruma da so much i love this lady