LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,111
- 27,096
Kuna Bwana mdogo mmoja kanisikitisha Sana. NI hivi baada ya kufaulu law school alifanya petition ya kuwa admitted na akafanikiwa Hadi hatua ya APPEARANCE.
Ngoma ikaja kwenye malipo kabla ya admission ceremony ambayo according to him yana cost kama laki 5 na ushee.
Namfahamu huyu dogo kupitia mdogo wangu coz mdogo wangu pia anaapishwa hiyo tarehe kumi
Nimetoka kumtext now namuuliza maandalizi ya sherehe vipi ananiambia bro nimekosa hela ya kulipia TLS na Judiciary ( laki tano)
I was like kwanini usingenichek Mimi ningekuazima? He was like sikutaka kumsumbua yoyote nimeona nisubiri mpaka mwezi wa kumi na mbili
Niliguswa Sana. Jamani ukiwa na Tatizo talk to people unaweza kupata msaada.
Sasa am asking myself kitu gani hutokea pindi wakili mtarajiwa anapokosa kufanya malipo? NI kwamba ndio admission yake inafutwa au anaweza kuapishwa kipindi kitakachofuata?
And utakapofika muda huo atatakiwa kuandika barua au unakuwaje?
TLS na wizara ya Sheria badilisheni utaratibu. Hawa vijana wakishafaulu waacheni waapishwe bure Bila malipo yoyote wengi wanatoka familia masikini kumwambia atoe laki tano ni kumuonea bure
Ngoma ikaja kwenye malipo kabla ya admission ceremony ambayo according to him yana cost kama laki 5 na ushee.
Namfahamu huyu dogo kupitia mdogo wangu coz mdogo wangu pia anaapishwa hiyo tarehe kumi
Nimetoka kumtext now namuuliza maandalizi ya sherehe vipi ananiambia bro nimekosa hela ya kulipia TLS na Judiciary ( laki tano)
I was like kwanini usingenichek Mimi ningekuazima? He was like sikutaka kumsumbua yoyote nimeona nisubiri mpaka mwezi wa kumi na mbili
Niliguswa Sana. Jamani ukiwa na Tatizo talk to people unaweza kupata msaada.
Sasa am asking myself kitu gani hutokea pindi wakili mtarajiwa anapokosa kufanya malipo? NI kwamba ndio admission yake inafutwa au anaweza kuapishwa kipindi kitakachofuata?
And utakapofika muda huo atatakiwa kuandika barua au unakuwaje?
TLS na wizara ya Sheria badilisheni utaratibu. Hawa vijana wakishafaulu waacheni waapishwe bure Bila malipo yoyote wengi wanatoka familia masikini kumwambia atoe laki tano ni kumuonea bure