Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Ujinga wangu ulikuwa "KUMUAMINI MAZIMA".
Nilijutia mnoo
Nambie wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijutia mnoo
Nambie wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimpenda halafu nikawa Sina hela! plus kibamia plus jua ambalo linajua kuwa hauna hela linakuchoma kichwani mpk shingoni tu! Tena ukiwa unatembea unasikia sauti ya kiroho toka kwenye jua likikuambia "tafuta hela nitakuwa kenge wewe"
Ulishawahi kukutana na jua la namna hiyo..?
Ha haHela Hukuwa Nayo Na Kibamia Juu
Kweli Wewe Ng'ombe wamasikini huwezi Kufurahi hadi utage Yai
Ndio wale mkizeeeka Nywele zinakudharau zinaota hadi mipuani Masikioni mradi ukose hewa ujifie tu
Hahahah"'
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha
Halafu haya sindo yanakuwaga Yale matatizo ukipelekwa hospitali ugonjwa hauonekani ila unaumwa ile mbaya
Hapo hata shetani hukaa pembeni viungo vyako mwenyewe vikushuhulikie!! Muda mwengine shetani huwa hapendi kuingilia ugomvi wa mtu na vitu vyake
Kuuza simu yangu ndogo kisha kumtumia pesa dah ulikuwa ni u zombie mkubwa niliofanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka kdhaaa nyuma uko nilipokua kidato cha Tatu.
Kuna SAA LA Ukutani Mzee alitoka nalo uko kwa wabudha (ilikua nzuri sana ,maana kila mgeni aloingia sebuleni hakua acha kuuliza iliponunuliwa ).
Nililibeba nikaenda kumpa Demu wangu ..Demu naye sijui aliuza .
Alafu tukaja KUACHANA iyoiyo cha tatu.
Sema sitosahau zile bakora nilizopewa!!
Kumruhusu man angu auze pc kipindi npo chuo tena nikiwa na uhitaji nayo sana..alikua muhunimuhuni bangi pia so mzee wake akagoma kulipa ada basi ktk kuhangaika akaniomba aiuze nikamruhusu.
Alinisaliti