Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Dunia ina Mambo kweli.. Ushawahi kujiuliza ni kwa nini unapenda kitu au tabia fulani na wakati havina maana kivile?? Na je huwa hali hiyo inasababishwa na nini?
Mfano,mimi napenda sana,nikiwa saloon kunyoa,basi kinyozi achelewe kumaliza. Nikiwa nanyolewa salon najisikia raha,pili napenda sana harufu ya moshi wa gari au piki piki,tatu mimi napenda sana kunya nikiwa uchi wa mnyama,sio kuvua boxer na suruali vikaishia magotini,nikikata gogo huku sina nguo hata moja najisikia burudaaaani sana.
Ehe,, na wewe vipi mwana Jf.?
Mfano,mimi napenda sana,nikiwa saloon kunyoa,basi kinyozi achelewe kumaliza. Nikiwa nanyolewa salon najisikia raha,pili napenda sana harufu ya moshi wa gari au piki piki,tatu mimi napenda sana kunya nikiwa uchi wa mnyama,sio kuvua boxer na suruali vikaishia magotini,nikikata gogo huku sina nguo hata moja najisikia burudaaaani sana.
Ehe,, na wewe vipi mwana Jf.?