godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Ni muendelezo wa harakati za Mh Rais katika kutimiza ahadi zake,hatimaye dege kubwa Airbus 220-300 lishatua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere matangazo ya mapokezi hayo yako live.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app