Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
Tunatofaitiana jinsi mwenyezimungu muumba mbingu na nchi kama alivyoamua.kuna wenye aina tofauti ofauti ya vitovu baina yetu hata kama tumetoka damilia moja .kuna wengine vimezama ndani na wengine vimetokea kwa nje.
Hoja yangu hapa ni kuwa tangu utoto wangu nilipopata fahamu kidogo,nilikuwa nakichezea (kukifanyia usafi) ili kuondoa uchafu ulioko kwenye kotovu.nilikuwa nafanya hivyo kila nilipoina kunauchafu.
Lakini baada ya kukua na kipata uwelewa mzuri kwa maana utu uzima na kuambiwa sio vizuri kukipekenyua ni hatari unaweza kupoteza maisha nimeacha na sasa kuna rundo la uchafu hadi nahisi haibu nikivua shati ninapokua na mwandani wangu au ninapogelea.
Naomba msaada je naweza kikifanyia usafi bila kupata madhara?
Hoja yangu hapa ni kuwa tangu utoto wangu nilipopata fahamu kidogo,nilikuwa nakichezea (kukifanyia usafi) ili kuondoa uchafu ulioko kwenye kotovu.nilikuwa nafanya hivyo kila nilipoina kunauchafu.
Lakini baada ya kukua na kipata uwelewa mzuri kwa maana utu uzima na kuambiwa sio vizuri kukipekenyua ni hatari unaweza kupoteza maisha nimeacha na sasa kuna rundo la uchafu hadi nahisi haibu nikivua shati ninapokua na mwandani wangu au ninapogelea.
Naomba msaada je naweza kikifanyia usafi bila kupata madhara?