lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,542
- 1,974
Nakubali, hapo ndipo upuuzi ulipolalia. Lkn kwa maana ya kuzuia wazazi kulalala fofofo wakati wanakichanga.Tatizo Kuna watu ikitokea mtoto kadondokewa wanachanganyikiwa wengine wanafikia hatua ya kujiua
Kumfanya mama kuwa makini wakati anamuogesha kichanga hiyo imekaa poa.