LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,108
- 27,092
- Thread starter
- #41
Hata internet unayo tumia uliletewa na hao hao wazungu mkuu. Babu zako hawakutumia internetWhatever you want to put it, lakini ukweli utabaki ukweli, habari za Yesu huku kwetu zimeletwa na wamishenari wa kizungu kama habari za Mohammed zilivyoletwa na Waarabu. Kabla ya hapo hakuna mmakua au mmpogolo yeyote aliyemjua Yesu mweusi au wa bluu, watu walikuwa na imani zao tofauti