Kwa mwanamke Kuvuta kitovu husababishwa na Mambo mengi ikiwemo UTI..kuchafuka kwa tumbo au Mimba! Lakini pia inaweza kuwa dalili ya kuathiriwa kwa organ mbali mbali kama Kongosho au mawe kwenye figo.
Kama maumivu yanasambaa mpaka mgongoni au sehemu kubwa ya tumbo bhasi kuna shida kubwa nenda hospital. Pia upime UTI.
Mtoto anapoanza kukua husababisha mgandamizo au pressure kwenye eneo la kitovu hii hupelekea maumivu kwa ***** eneo la kitovu ambayo huisha baada ya muda mfupi..! Japo maumivu hizidi endapo akipiga chafya..kukohoa au kuinama.Asante
Kwa upande wa mimba hii ipoje