Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Zote ni original na zimetumika! htc imetumika takriban miezi 9, 5230 mwaka na 6710 imetumika miezi 6. zinashuka dar tarehe 28/03.
Bei HTC = 500, 000Tsh.
Nokia 5210= Sijui ngapi niuze
NA Nokia 6710 = 450,000Tsh.
hiyo nokia ingine mwenye kuweka dau na alambe.
Specification mtanisamehe, mwenye kuitaji azi google please. ni nyingi na sina muda wa kuzinukuu zote hapa.
haya wananenii. nasubiri sasa..