Kuna kautafiti nimefanya nikagundua kwenye mahusiano kuna mambo mengi ikiwemo kuchepuka. Cha kushangaza wanawake wengi pindi wafumaniapo waume zao utamwona anakurupuka na kumvagaa mke/binti anaye kutwa naye.
Hii ni tofauti kwa wanaume akifumania mkewe mara nyingi anatoa adhabu kwa mkewe si kwa aliye mfumania.
Je hii ni sawa na kusema adui wa mwanamke ni mwanamke?
Au naombeni ufafanuzi kiroho safi.
Hii ni tofauti kwa wanaume akifumania mkewe mara nyingi anatoa adhabu kwa mkewe si kwa aliye mfumania.
Je hii ni sawa na kusema adui wa mwanamke ni mwanamke?
Au naombeni ufafanuzi kiroho safi.