englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Umenikumbusha Marangu nilipiga hii kitu mara ya kwanza nilivyoenda kutoa mahali tehtehNimekumbuka pale Marangu.....inapendeza ikiwa kwenye kata....
kitochindo nini
duu hii haiwezi kuwa mbege hii ni kindi kabisaa..
na ub..oo ameshafanyia utafiti pia. hawachelewagi kuvua pichu hawa!huyo mzungu anafanya utafiti anachukua PhD yake nyie mkishangaa shangaa tu hapo
Bora ipatikane serikali ili ihalalshwe!