Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,444
Haramu ni neno jipya kwenye kamusi au???
Wewe unaonaje?
Haramu ni neno jipya kwenye kamusi au???
Acha uzushi. Nguruwe iko kwenye kundi la nyama nyekundu kama mbuzi, ngombe.Hii ndio nyama ambayo haileti matatizo mwilini kama gauts na uric acid kwa sababu ni nyama nyeupe white meet na ina vinasaba ambavyo hufanya watumiaji wawe na akili nyingi na kuishi muda mrefu angalia mataifa ya china ulaya na kwa Tanzania mkoa wa kilimanjaro ni mfano.
Zipo propaganda za kidini dhidi ya nyama hii bora,mara ina wadudu sijui ukimwagia nini, mara ina minjoo inayokwenda kwenye ubongo. Uongo mtupu una enezwa na ijumaa na nduguye jumamosi
Wesio wakwanza kukusikia ukiongea hvyo ila kuna siku nlipeleka familia tupige lunch pale nlijuta aisee kwanza wapo slow pili wanaiba uzito tatu nyama yao ya kawaida sana pia raha ya hii nyama uipige live bila makorokoro salamu zimfikie mshkaji mmoja hv fundi sana wa hii nyama alikuwa pale sinza darajan saiz kahamia road yakwenda Salma Kikwete mwingine ni pale Singida karibu na meatu hotel wale Jamaa nao hawana mbwembwe kabisa tukienda Moshi pale kiborolin kwenye contena Kule Tanga mule ndan sabasaba wengi wez sema kuna dogo mmoja yupo opposite na Tanga pazuri upande wa vibanda vinavyozunguka uwanja sema sio msafi kihivyo na pale Dodoma jiran na cbe pale sijui kama bado wapo wale JamaaArusha maeneo ya Kaloleni SARAFINA INN hawa jamaa ni wataalam wa kumtengeneza huyu kiumbe mtamu
Hapo kibololoni huyo jamaaa ni hatari kaka kama chokilate vile! Kuna mwamba yuko suka pale kilimani bar achaa mzeee unaweza sema huyu ni pofu au swala ana banika siyo mchezo ukishushiaa na k vant la haula lazima u feel uchumi wa katiWesio wakwanza kukusikia ukiongea hvyo ila kuna siku nlipeleka familia tupige lunch pale nlijuta aisee kwanza wapo slow pili wanaiba uzito tatu nyama yao ya kawaida sana pia raha ya hii nyama uipige live bila makorokoro salamu zimfikie mshkaji mmoja hv fundi sana wa hii nyama alikuwa pale sinza darajan saiz kahamia road yakwenda Salma Kikwete mwingine ni pale Singida karibu na meatu hotel wale Jamaa nao hawana mbwembwe kabisa tukienda Moshi pale kiborolin kwenye contena Kule Tanga mule ndan sabasaba wengi wez sema kuna dogo mmoja yupo opposite na Tanga pazuri upande wa vibanda vinavyozunguka uwanja sema sio msafi kihivyo na pale Dodoma jiran na cbe pale sijui kama bado wapo wale Jamaa
Punguza uroho wa nyamaWakuu ukienda ukaagiza Nyama kiti moto kilo moja unakula na kumaliza fasta hata wakati mwingne unatamani kuongeza, hebu piga Picha Nyama kilo moja ya ng'ombe huko nyumbani tunakula watu kumi na inabaki
Swali hivi kweli ile Nyama inakuwa ni kilo moja Au wanatuibia? Inakuwa kweli ni kilo moja ile Nyama ya kiti moto? Au wanatuibia? Au kuna sababu ingine?
Jibu lake vitu vya haram hua vinapendwa sana we angalia unapo tembea na mwanamke wa nje inakuaje unapiga shoo ya kibabe kwa sababu huyo mwanamke sio halali yako, soda au juis unaweza kumaliza chupa hata 3 vp pombe mkuu hata 20 watu wanamaliza jibu shetani hua anasimamia showWakuu ukienda ukaagiza Nyama kiti moto kilo moja unakula na kumaliza fasta hata wakati mwingne unatamani kuongeza, hebu piga Picha Nyama kilo moja ya ng'ombe huko nyumbani tunakula watu kumi na inabaki
Swali hivi kweli ile Nyama inakuwa ni kilo moja Au wanatuibia? Inakuwa kweli ni kilo moja ile Nyama ya kiti moto? Au wanatuibia? Au kuna sababu ingine?
Wesio wakwanza kukusikia ukiongea hvyo ila kuna siku nlipeleka familia tupige lunch pale nlijuta aisee kwanza wapo slow pili wanaiba uzito tatu nyama yao ya kawaida sana pia raha ya hii nyama uipige live bila makorokoro salamu zimfikie mshkaji mmoja hv fundi sana wa hii nyama alikuwa pale sinza darajan saiz kahamia road yakwenda Salma Kikwete mwingine ni pale Singida karibu na meatu hotel wale Jamaa nao hawana mbwembwe kabisa tukienda Moshi pale kiborolin kwenye contena Kule Tanga mule ndan sabasaba wengi wez sema kuna dogo mmoja yupo opposite na Tanga pazuri upande wa vibanda vinavyozunguka uwanja sema sio msafi kihivyo na pale Dodoma jiran na cbe pale sijui kama bado wapo wale Jamaa
Pork joint dodoma kilo1 ni 18k.niliwashangaa sana wakat ukienda nayo mnadan hiyo unaeza kimbiaWale walishahama, kuna mahali karibu na TRA wanaitwa Pork Joint hatari sana wale watu, ni hatari sanaaaaaa
Duh ndo Bei ikapanda hivyo naskia mdau kasema 18k sasa hii ni vita ila kitimoto bana hakinaga Mambo mengiWale walishahama, kuna mahali karibu na TRA wanaitwa Pork Joint hatari sana wale watu, ni hatari sanaaaaaa
teh...teh...teh...Hakuna nyama tamu Kama kitimoto. Wezee wa Masjid kibla tein nao tunakuwa nao mahali flani. Yule mdudu ni noma.
siwezi kubaliana na wwHakuna nyama tamu Kama kitimoto. Wezee wa Masjid kibla tein nao tunakuwa nao mahali flani. Yule mdudu ni noma.
Imebarikiwa toka enzi na enzi, utamu wake kuna vitu viwili tu unaweza linganisha navyo,Wakuu ukienda ukaagiza Nyama kiti moto kilo moja unakula na kumaliza fasta hata wakati mwingne unatamani kuongeza, hebu piga Picha Nyama kilo moja ya ng'ombe huko nyumbani tunakula watu kumi na inabaki
Swali hivi kweli ile Nyama inakuwa ni kilo moja Au wanatuibia? Inakuwa kweli ni kilo moja ile Nyama ya kiti moto? Au wanatuibia? Au kuna sababu ingine?
Sawa. Hata usipokubaliana Wala haiwazuii hao niliowataja kuendelea kula kitimoto kijiweni kwetu.siwezi kubaliana na ww
Huku kwetu nyama ya kitimoto ni 5000/= Wakati ya ngombe ni 6000/= mbuzi 6500/=