FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,820
- 109,102
Huko China na kwengine duniani limezuka gonjwa lisilotibika kutokana na "mdudu" aka "kiti moto" aka "mbuzi katoliki" aka nguruwe.
Nguruwe katika vitabu (vya imani zote kuu mbili za hapa kwetu) kaharamishwa kuliwa. China ingawa kuna Waislam na Wakristo wachache na wengine wa imani nyingine lakini wengi wao hawaamini dini wala Mungu kabisa na Wachina wanajulikana kwa kula chochote kile lakini safari hii kitimoto kimewasibu mpaka wameamua kukiteketeza chote.
Jionee na sikiliza vilio na mayowe yanayofanana na ya binaadam zoezi la kuwateketeza likiendelea...
Nguruwe katika vitabu (vya imani zote kuu mbili za hapa kwetu) kaharamishwa kuliwa. China ingawa kuna Waislam na Wakristo wachache na wengine wa imani nyingine lakini wengi wao hawaamini dini wala Mungu kabisa na Wachina wanajulikana kwa kula chochote kile lakini safari hii kitimoto kimewasibu mpaka wameamua kukiteketeza chote.
Jionee na sikiliza vilio na mayowe yanayofanana na ya binaadam zoezi la kuwateketeza likiendelea...