Kitilya asota rumande miaka 2

Kikwete amewaingiza chaka wote wakina Kitilya , Mattaka na wengine wengi wakati yeye muhusika mkuu anakula BATA huko Msoga!!!
Shida adabu yako.

Kikwete ndiye Rais pekee aliyefunga mawaziri kwa ufisadi ndiye Rais pekee aliyemtosa waziri mkuu kwa ufisadi. Na ndiye Mwenyekiti aliyeacha roadmap (ilani) inayofatwa sasa hivi.

Koma.
 
Shida adabu yako.

Kikwete ndiye Rais pekee aliyefunga mawaziri kwa ufisadi ndiye Rais pekee aliyemtosa waziri mkuu kwa ufisadi. Na ndiye Mwenyekiti aliyeacha roadmap (ilani) inayofatwa sasa hivi.

Koma

Nilijua utatoka shimoni kwako tu uje umtetee mfadhili wako!! Mbona husemi ufisadi wa HOME SHOPPING CENTRE na jinsi alivyofadhili hawa jamaa kupitisha makontena bandarini bila kulipa kodi; jinsi alivyowalinda wauza madawa ya kulevya mpaka ameingia Magufuli ndio wakapelekwa Marekani; Unajua yeye ndiye aliyemlazimisha Mattaka kuingia mkataba wa kukodisha ile ndege ya AIRBUS kutoka kwa mlebanoni iliyolimbikiza deni la mabilioni kwa serikali!! Halafu unasema alikuwa anapiga vita ufisadi? Unajua gharama ya Barabara ya Bagamoyo mpaka Msata umegharimu kiasi gani na mjenzi akiwa swahiba wake Subash Patel?

Unajua kısa cha yeye kusabotage kukamilika kwa rasimu ya katiba ya Warioba? Aliogopa kama ile rasimu ingepitswa na katiba kukubaliwa yeye hivi leo yangempata yaliyompata Jacob Zuma kule South Afrika!!!

Sasa wewe ndio ukome ukomae.
 
Nilijua utatoka shimoni kwako tu uje umtetee mfadhili wako!! Mbona husemi ufisadi wa HOME SHOPPING CENTRE na jinsi alivyofadhili hawa jamaa kupitisha makontena bandarini bila kulipa kodi; jinsi alivyowalinda wauza madawa ya kulevya mpaka ameingia Magufuli ndio wakapelekwa Marekani; Unajua yeye ndiye aliyemlazimisha Mattaka kuingia mkataba wa kukodisha ile ndege ya AIRBUS kutoka kwa mlebanoni iliyolimbikiza deni la mabilioni kwa serikali!! Halafu unasema alikuwa anapiga vita ufisadi? Unajua gharama ya Barabara ya Bagamoyo mpaka Msata umegharimu kiasi gani na mjenzi akiwa swahiba wake Subash Patel?

Unajua kısa cha yeye kusabotage kukamilika kwa radium ya katibi ya Warioba? Aliogopa kama ile rasimu ingepitswa na katibi kukbaliwa yeye çivi leo yangempata yaliyompata Jacob Zuma kule South Afrika!!!

Sasa wewe ndio ukome ukomae.
Kasome uzi wao upo humu na michango yangu utakuta.

Huwa sikisii.
 
Magufuli ni jembe anataka kuset presidency kwamba bila kujali wewe ni nani au ulikua nani unaweza banwa na sheria, that is very good kwa nchi inapunguza gap la wasiogusika na maskini

Hakuna aliyehukumiwa kifungo awamu ya Magufuli.

Hizi ni hujuma kwa haki za raia kufunga watu bila kesi.

Hakuna “ujembe” wowote hapo bali uonevu na hujuma.
 
Magufuli ni jembe anataka kuset presidency kwamba bila kujali wewe ni nani au ulikua nani unaweza banwa na sheria, that is very good kwa nchi inapunguza gap la wasiogusika na maskini

Sent using Jamii Forums mobile app
Precedence gani kesi inatakiwa iishe siku 90, huu ni uonevu tuu, justice deleyed is justice denied
 
100% true, wakilipa ransom money wanatoka

Yes, I agree... na hiyo ransom money ya milioni 200 ninaamini wanayo, ila ku plead guilty inakuwa ngumu kwa mtu mwenye principle na anaeamini amefanyiwa hujuma kwa kiki za kisiasa. Mzee Kitilya na kijana mkwe wa Lowassa wanaishi sehemu maalum pale Keko, ya kulipia na kujilisha, ambayo ipo available kwa yeyote mwenye kujiweza. Gharama za kujitunza pale kwa miaka miwili zishafika milioni 200, trust me, hiyo hela wanayo, there is no way Rugemalila hana 200mil za madafu za kumlipa jiwe ili atolewe.

Hawataki kulipa ransom money as a matter of principle. My gut feeling is wanakataa kuhalalisha hujuma za wanasiasa, wameonewa sana hawa wazee, Kitilya, kijana wa Lowassa, Mzee Noni, Lugemarira, binti wa Sinare, Habinger Singh, na wengine weeengi ambao hawana majina makubwa, so called wanyonge na masikini, waliofungwa miaka nenda rudi bila mashitaka.
 
Ukweli wa hawa jamaa upo vipi?....hawana kosa walilofanya?...hebu tufungueni macho tusiojua..
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom