FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,191
- 107,731
Shida adabu yako.Kikwete amewaingiza chaka wote wakina Kitilya , Mattaka na wengine wengi wakati yeye muhusika mkuu anakula BATA huko Msoga!!!
Kikwete ndiye Rais pekee aliyefunga mawaziri kwa ufisadi ndiye Rais pekee aliyemtosa waziri mkuu kwa ufisadi. Na ndiye Mwenyekiti aliyeacha roadmap (ilani) inayofatwa sasa hivi.
Koma.