Uchaguzi 2020 Kitila Mkumbo: Vyama vya Upinzani havijajipanga kisera na kiuongozi

Dkt. Magufuli amefanya mengi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kama Waziri na Baadae Rais hivyo ni mgombea sahihi atakaye leta maendeleo kwa manufaa ya Watanzania wote.
Watu masikini Kama nyie ndo mtaji wa propaganda za wanasiasa
 
Elimu ya vyeti,ni tofauti na elimu ya naaruifa.profess wa tz aliyeko ccm anapigishwa kwata na graduet wa Kenya,Uganda Rwanda mpaka somalia.
Amigo
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Kwa hio msaka tongee alipokuwa upinzani alikuwa analijua hili au alikuwa hajui?
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Mkuu wewe unaamini ukiongozwa na jiwe utafikia malengo yako? Kama jibu lako ni ndiyo basi usamehewe bure na kama ni hapana basi unahitaji usaidizi wa kifikra

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Malengo/mafanikio yako hayaletwi na kiongozi yeyote, unajiletea/jitafutia mwenyewe, au wewe ni mmoja wa wale wanaoamini mpinzani akishinda atapewa begi la hela?

Angalizo fanya kazi utimize malengo yako
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
"Professorial rubbish" according to TAL
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.

Ukweli siku zote ni mchungu. Jiandae kupokea matusi na kusulubiwa!
 
Amesema ukweli. Uongozi wa Taifa ni kujipanga na kujiandaa barabara na kuonyesha viashiria vya tabia za uongozi.Kinachowaponza upande wa pili ni ubinafsi, viongozi wa vyama kukosa maarifa na mbinu, mikakati,kutoongoza kitaasisi na kutosoma mchezo wa siasa.
Kwanza ww umejuaje kama viongozi wa upinzani ni wabinafsi ikiwa hata 75% ya umiliki wa bunge pamoja na mawazili hawajafikia kwa umiliki?
Ww nae ni kalaza kama vilaza wengne
 
Amesema ukweli. Uongozi wa Taifa ni kujipanga na kujiandaa barabara na kuonyesha viashiria vya tabia za uongozi.Kinachowaponza upande wa pili ni ubinafsi, viongozi wa vyama kukosa maarifa na mbinu, mikakati,kutoongoza kitaasisi na kutosoma mchezo wa siasa.
Na kwa taarifa yako, watu wa kigoma Zitto kabwe akishasema kwa wananchi wa kigoma kinachofuata ni utekelezaji, kura yake ni kwa Tundu Lissu na kwann mm nimnyime Tundu Lissu.
 
Asema jingalao! Prof Kitila ni nan? Naye ni wa jalalani? Nchi hi tukisikia neno Profesa tunastuka kwa sababu hao maprofesa waliwahi kutamka wenyewe hadharani kuwa huko wanapotolewagwa (vyuoni) ni jalalani!
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Huyo kitilam ni mweupe tu, tarehe 28 /10 atajua kwamba hajui
 
Back
Top Bottom