Watu masikini Kama nyie ndo mtaji wa propaganda za wanasiasaDkt. Magufuli amefanya mengi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kama Waziri na Baadae Rais hivyo ni mgombea sahihi atakaye leta maendeleo kwa manufaa ya Watanzania wote.
Watu masikini Kama nyie ndo mtaji wa propaganda za wanasiasaDkt. Magufuli amefanya mengi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kama Waziri na Baadae Rais hivyo ni mgombea sahihi atakaye leta maendeleo kwa manufaa ya Watanzania wote.
Tuko uchumi wa kati, mimi sio Mtanzania Maskini aisehWatu masikini Kama nyie ndo mtaji wa propaganda za wanasiasa
Kwa hio msaka tongee alipokuwa upinzani alikuwa analijua hili au alikuwa hajui?Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Tatizo wewe ndo mjinga wao. Sijadili hoja na wajinga.Acha hasira dhidi yake jadili hoja aliyotoa
Huyu YUDA ESKARIOT ajinyamazie tu. Iko siku atakumbuka kwamba usaliti ni kitu kibaya. Akikaa kimya itamsaidia "malaya wa kisiasa"Hivi nani alikuwa anamjua Kitila mkumbo kama sio juhudi za upinzani kukupa nafasi?
Malengo/mafanikio yako hayaletwi na kiongozi yeyote, unajiletea/jitafutia mwenyewe, au wewe ni mmoja wa wale wanaoamini mpinzani akishinda atapewa begi la hela?Mkuu wewe unaamini ukiongozwa na jiwe utafikia malengo yako? Kama jibu lako ni ndiyo basi usamehewe bure na kama ni hapana basi unahitaji usaidizi wa kifikra
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
"Professorial rubbish" according to TALProf. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Kwanza ww umejuaje kama viongozi wa upinzani ni wabinafsi ikiwa hata 75% ya umiliki wa bunge pamoja na mawazili hawajafikia kwa umiliki?Amesema ukweli. Uongozi wa Taifa ni kujipanga na kujiandaa barabara na kuonyesha viashiria vya tabia za uongozi.Kinachowaponza upande wa pili ni ubinafsi, viongozi wa vyama kukosa maarifa na mbinu, mikakati,kutoongoza kitaasisi na kutosoma mchezo wa siasa.
Inaonekana hata hao wakina bashiru wenyewe wanathaminiwa na kuonenakana muhimu wakati kama huu wa kampeni tuuHuyu na kina Bashiru wanatetea ugali wao tu, uongozi gani wa jpm unaotetea ubaguzi, utekaji na kunyima haki za watu?
Na kwa taarifa yako, watu wa kigoma Zitto kabwe akishasema kwa wananchi wa kigoma kinachofuata ni utekelezaji, kura yake ni kwa Tundu Lissu na kwann mm nimnyime Tundu Lissu.Amesema ukweli. Uongozi wa Taifa ni kujipanga na kujiandaa barabara na kuonyesha viashiria vya tabia za uongozi.Kinachowaponza upande wa pili ni ubinafsi, viongozi wa vyama kukosa maarifa na mbinu, mikakati,kutoongoza kitaasisi na kutosoma mchezo wa siasa.
Huyo kitilam ni mweupe tu, tarehe 28 /10 atajua kwamba hajuiProf. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Na akipata jeElimu aliyoipata haijamsaidia ,zaidi ya kumpa utumwa kushibisha tumbo lake. Na ubunge hapati.