Uchaguzi 2020 Kitila Mkumbo: Vyama vya Upinzani havijajipanga kisera na kiuongozi

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
 
Amesema ukweli. Uongozi wa Taifa ni kujipanga na kujiandaa barabara na kuonyesha viashiria vya tabia za uongozi.Kinachowaponza upande wa pili ni ubinafsi, viongozi wa vyama kukosa maarifa na mbinu, mikakati,kutoongoza kitaasisi na kutosoma mchezo wa siasa.
 
Amesema ukweli. Uongozi wa Taifa ni kujipanga na kujiandaa barabara na kuonyesha viashiria vya tabia za uongozi.Kinachowaponza upande wa pili ni ubinafsi, viongozi wa vyama kukosa maarifa na mbinu, mikakati,kutoongoza kitaasisi na kutosoma mchezo wa siasa.
Mbona hapo umezielezea sifa zote za CCM? Hujaelezea sifa za uongozi wa upinzani Tanzania
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Mpuuzi naye huyo hana jipya
 
Ni kweli kabisa,

Mfano mzuri ni mgombea urais wa Chadema,

Hana cha kuwaambia watanzania atawafanyia nini anaishia kumtaja mwenzake tu.

Wala hana hata watu wa kuunda serikali.

Litakuja jambo la ajabu mno kuwapa kura watu wa aina hii.

Wasiokuwa na sera wala dira.
 
Ila kwenye vyuo vyetu tuna baadhi ya wahadhiri wapumbavu sana

huyu ukimrudisha miaka mitano nyuma anaweza akakuua kabisa

bora ya Kabudi aliyekiri ameokotwa jalalani
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Tanu ilipoleta uhuru viongozi wake walijipanga ki sera na ki uongozi?
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Dkt. Magufuli amefanya mengi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kama Waziri na Baadae Rais hivyo ni mgombea sahihi atakaye leta maendeleo kwa manufaa ya Watanzania wote.
 
Back
Top Bottom