Truths
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,494
- 1,503
Haikua siri jinsi profesa Kitila mbobezi ww siasa alivyokua muumini WA lowasa alipohamia CDM angali yeye akiwa ACT
Kitila alikiri kutoamini kuhusu uundwaji wa mahakama ya mafisadi dhana iliiopigiwa debe na magufuli Kama njia ya kupambana na ufisadi
pia huko nyuma kitila aliwahi kushiriki kufanya mabadiliko Cdm ambayo yalitafsiriwa kua ni haramu hata akitimuliwa na swaiba wake zito.
Mwishowe sasa amerudi kundini kule alikolelewa na kusomeshwa yaani CCM.
Ndio kusema ameshamkana zito?
What goes around cones around...
Kitila alikiri kutoamini kuhusu uundwaji wa mahakama ya mafisadi dhana iliiopigiwa debe na magufuli Kama njia ya kupambana na ufisadi
pia huko nyuma kitila aliwahi kushiriki kufanya mabadiliko Cdm ambayo yalitafsiriwa kua ni haramu hata akitimuliwa na swaiba wake zito.
Mwishowe sasa amerudi kundini kule alikolelewa na kusomeshwa yaani CCM.
Ndio kusema ameshamkana zito?
What goes around cones around...