Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,891
- 1,211
CHAGUZI HIZI ZIMETOA PICHA. WAPAMBE WA PROF KITILA MKUMBO MSIENDELEE KUMDANGANYA
___________________
UCHAGUZI WA KATIBU KATA, Kata ya Mtoa alikozaliwa Prof Kitila Mkumbo, Mgombea aliyeungwa mkono na Dr Mwigulu alipata kura 61 huku aliyeungwa mkono na Prof Kitila aliambulia kura 9 tu sawa na mtu kamshinda kwa zaidi ya asilimia 90 .
UCHAGUZI WA UWT LEO SHELUI , Shelui ni tarafa ambayo alizaliwa ndugu Prof Kitila,
Raha ya uchaguzi kuwepo washindani wagombea walijigawa vilevile mmoja ni timu Mwigulu na mwingine kambi ya Prof Kitila kilichotokea bado upande wa Mwigulu wakaibua kidedea kwa kura 26 huku kambi ya Kitila wakaambulia kura 6 tu hiki ni kipigo cha mbwa koko.
UCHAGUZI KATA YA MGONGO, Vivyo hvyo tarafa ya Shelui ndiko alikozaliwa ndugu Kitila mgombea aliyeungwa mkono na Dr Mwigulu TARAFA YA SHELUI ALIKOZALIWA PROF akapata kura 21 KITILA huku wa Prof Kitila akapata kura 7.
Waswahili wanasema ukiona adui wako kakushinda siyo mbaya ukaungana naye. Hizi sarakasi za Prof Kitila ni bora akaungana na Dr Mwigulu kuleta maendeleo ndani ya Iramba. Kutumia nguvu nyingi kumuondoa MWIGULU ambaye kashaimarisha mizizi yake kwa wananchi ni kupoteza muda.
SERIKALI ZA MITAA VIJIJI TAKRIBANI 70 ALIYEONEKANA ANAUNGWA MKONO NA PROF KITILA HATA KAMA NI MZURI ALIKATALIWA NA WAPIGA KURA. HII NDIO MAANA HALISI YA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI.
Wako,
Kiboko.
___________________
UCHAGUZI WA KATIBU KATA, Kata ya Mtoa alikozaliwa Prof Kitila Mkumbo, Mgombea aliyeungwa mkono na Dr Mwigulu alipata kura 61 huku aliyeungwa mkono na Prof Kitila aliambulia kura 9 tu sawa na mtu kamshinda kwa zaidi ya asilimia 90 .
UCHAGUZI WA UWT LEO SHELUI , Shelui ni tarafa ambayo alizaliwa ndugu Prof Kitila,
Raha ya uchaguzi kuwepo washindani wagombea walijigawa vilevile mmoja ni timu Mwigulu na mwingine kambi ya Prof Kitila kilichotokea bado upande wa Mwigulu wakaibua kidedea kwa kura 26 huku kambi ya Kitila wakaambulia kura 6 tu hiki ni kipigo cha mbwa koko.
UCHAGUZI KATA YA MGONGO, Vivyo hvyo tarafa ya Shelui ndiko alikozaliwa ndugu Kitila mgombea aliyeungwa mkono na Dr Mwigulu TARAFA YA SHELUI ALIKOZALIWA PROF akapata kura 21 KITILA huku wa Prof Kitila akapata kura 7.
Waswahili wanasema ukiona adui wako kakushinda siyo mbaya ukaungana naye. Hizi sarakasi za Prof Kitila ni bora akaungana na Dr Mwigulu kuleta maendeleo ndani ya Iramba. Kutumia nguvu nyingi kumuondoa MWIGULU ambaye kashaimarisha mizizi yake kwa wananchi ni kupoteza muda.
SERIKALI ZA MITAA VIJIJI TAKRIBANI 70 ALIYEONEKANA ANAUNGWA MKONO NA PROF KITILA HATA KAMA NI MZURI ALIKATALIWA NA WAPIGA KURA. HII NDIO MAANA HALISI YA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI.
Wako,
Kiboko.