Kenya mara nyingi imejinasibu kwa maneno na vitendo kuwa ni ndugu zetu.
Rais Kenyatta ameutamka u ndugu huo mara kadhaa ikiwamo katika sekeseke la mipaka yetu inayoendelea kutatizika na virusi vya Corona.
Pamoja na matamko, rais Kenyatta alirejesha marundo ya pesa na dhahabu yaliyokuwa yamekamatiwa Kenya. Akimtuma waziri wake mwana mama ambaye mzee baba alikiri kuwa alikuwa mrembo kweli kweli.
Kumbe pamoja na yote tuliamua kumtosa vilivyo ndugu yetu huyu alipokuwa anatuomba uungwaji mkono kwenye jitihada zake za uwakilishi kule UNSC?
Kenyans React After Neighbors: Tanzania, Uganda and Ethiopia Vote Against Kenya in the UNSC Election
Kwamba kumbe hata huko kumtosa kwetu bado hakukusaidia kitu?
Ama kweli tumedhamiria. Kwani kwa kura yetu hii tumethibitisha wazi wazi kuwa damu yaweza kuwa nyepesi kuliko maji!
Rais Kenyatta ameutamka u ndugu huo mara kadhaa ikiwamo katika sekeseke la mipaka yetu inayoendelea kutatizika na virusi vya Corona.
Pamoja na matamko, rais Kenyatta alirejesha marundo ya pesa na dhahabu yaliyokuwa yamekamatiwa Kenya. Akimtuma waziri wake mwana mama ambaye mzee baba alikiri kuwa alikuwa mrembo kweli kweli.
Kumbe pamoja na yote tuliamua kumtosa vilivyo ndugu yetu huyu alipokuwa anatuomba uungwaji mkono kwenye jitihada zake za uwakilishi kule UNSC?
Kenyans React After Neighbors: Tanzania, Uganda and Ethiopia Vote Against Kenya in the UNSC Election
Kwamba kumbe hata huko kumtosa kwetu bado hakukusaidia kitu?
Ama kweli tumedhamiria. Kwani kwa kura yetu hii tumethibitisha wazi wazi kuwa damu yaweza kuwa nyepesi kuliko maji!