aaaah Tanzania bana, nakupenda kwa moyo wangu wote, hata waniite mwehu nyumbani nakupenda sana. Hivi Balali mdogo wa BOT NANI YULEE, Nduli sijui tumekarabati kajumba kake na kajumba kamsaidizi wake kwa TSH 3bn ama ? niwieni radhi nilikua nafikiri nikajikuta nimeandika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.