Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Naomba kuchukua nafasi hii kuutaka Uongozi wa Wizara Husika Na WALEMAVU kutmbelea FERRY Kuja kujionea idadi kubwa ya walemavu wanaoishi Kwa kuomba abiria wanaovuka .Naamini kama Mh.Rais anavyowambia Watanzania kuwa anawapigania wanyonge in vena hao wahusika Na Walemavu wakawatembelea huku Ferry ili waone ni namna gani Serikali itakavyowasaidia.