Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,445
- Thread starter
- #201
Kamanda mwenzangu we nisome vizuri unielewe... Ishu si kuhurumiwaUongozi wa kupewa kwa kuhurumiwa hauna tija
Kamanda mwenzangu we nisome vizuri unielewe... Ishu si kuhurumiwaUongozi wa kupewa kwa kuhurumiwa hauna tija
Kukataliwa ni hatua ya kufikia malengo yako so si ajabuHuyu hafai kuwa kiongozi ana vinasaba vya kujipendekeza sana ni jamii ya wale viongozi vijana wa kipindi cha Mwendazake.Kwa taarifa yako huyu alikataliwa na Wajumbe alipata kura moja hafai huyu.
Uncle achana nao... Ila ukweli Uncle P mi nakukubali Saaaana ni hivyo huwezi ukaelewa jinsi natamani nipate hata punje mfano ya haradari ya uwezo wako... Najivunia kwakweli japo ccm si ikubaliDuh...!. Kwa sisi wengine wetu tunafahamiana kupitia jf, for more than 10 years, tunafahamiana abilities na capabilities zetu, kuna watu tumejijengea heshima kubwa humu JF na kuna watu tunawaheshimu sana humu, hivyo kuna vitu vya ovyo na vya kijinga, you just can't imagine they could do such a thing!. Mimi Pascal Mayalla, kwa jinsi ninavyo iamini jf, na kuiheshimu, siwezi kufanya ujinga kama huu wa kufungua fake ID na kuanza kujifagilia ili nionekane nafagiliwa!.
P
Ulichoandika na ubongo wako hope haviendaniWewe ni P mwenyewe
Toto la kiume kua na roho ya kutu ivi inakuaje?? We P kakufanyaje??HUYO TAPELI ANAYESAKA TEUZI KWA NGUVU??
Asante naachana nao, ila wengine ni ma GT wetu humu, how could they think I'm capable of doing such a nonsense?!, naumia!.Uncle achana nao...
Thanks, moja ya maeneo ambayo nitajikita zaidi ni kwenye capacity building kuwajengea watu uwezo.Ila ukweli Uncle P mi nakukubali Saaaana ni hivyo huwezi ukaelewa jinsi natamani nipate hata punje mfano ya haradari ya uwezo wako...
Thanks kunikubali japo CCM huikubali, ndani ya CCM, tupo baadhi yetu ni watu wema, wazuri, waadilifu na wachapakazi. Niliwahi kushauri humu kuhusu CCM Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fairNajivunia kwakweli japo ccm si ikubali
Twitter relies on advertising for more than 90% of its revenue, though that may change under Musk, who has begun charging users $8 monthly to have “verified” status on their accounts.