Kitengo cha Habari TANESCO kina wafanyakazi zaidi ya 200 nchini. Waondolewe waende wapi Waziri January?

Maagizo ya waziri wa Nishati Mh. January ni kwamba kutokana na Wananchi kutopewa habari juu ya mikakati pamoja na kukatika umeme basi kitengo husika kimefeli hivyo kitengo hicho kibomolewe na kilete watu wengine.

Kazi za watu wa habari ni kuchukua habari kutoka kwa viongozi na watu wa fundi na kwenda kuhabarisha Wananchi. Hawatoi habari Kama wao.

Kitengo hiki kina watu zaidi ya 200 TANESCO Nzima nchini, na watu Hawa wanataaluma ya mambo haya tu, hata tanesco hawana spear ya watu Hawa, Ili watu Hawa waondolewe inabidi zitangazwe kazi, au watu wote Hawa walipwe uhamisho kwenda taasisi nyingine na waletwe watu kutoka kwingine ikiwemo halmashauri.

Toka matatizo ya umeme yameanza hatujaisikia Bodi mpya ya Tanesco ikitoa kauli yeyote angalau hata kuweka matumaini, wamepiga kimya.

Inavyoonekana huu mgao wa umeme wa chinichini utafukuzisha watu wa Tanesco sana.

Pia soma > Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika (Januari 25, 2022)
Unajua hawa hawana wanachojua zaidi ya kutoa number ya Tatizo na uje utatuliwe tatizo baada ya 24 hrs
 
Kwani ni lazima wafanye kazi tanesco?...mimi naona wafukuzwe tu..

Umeme unakatika kila siku lakini hawataki kutoa taarifa.
 
Maagizo ya waziri wa Nishati Mh. January ni kwamba kutokana na Wananchi kutopewa habari juu ya mikakati pamoja na kukatika umeme basi kitengo husika kimefeli hivyo kitengo hicho kibomolewe na kilete watu wengine.

Kazi za watu wa habari ni kuchukua habari kutoka kwa viongozi na watu wa fundi na kwenda kuhabarisha Wananchi. Hawatoi habari Kama wao.

Kitengo hiki kina watu zaidi ya 200 TANESCO Nzima nchini, na watu Hawa wanataaluma ya mambo haya tu, hata tanesco hawana spear ya watu Hawa, Ili watu Hawa waondolewe inabidi zitangazwe kazi, au watu wote Hawa walipwe uhamisho kwenda taasisi nyingine na waletwe watu kutoka kwingine ikiwemo halmashauri.

Toka matatizo ya umeme yameanza hatujaisikia Bodi mpya ya Tanesco ikitoa kauli yeyote angalau hata kuweka matumaini, wamepiga kimya.

Inavyoonekana huu mgao wa umeme wa chinichini utafukuzisha watu wa Tanesco sana.

Pia soma > Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika (Januari 25, 2022)
watu 200? Wanaripoti nini? Ndio maana shirika linafilisika
 
Maagizo ya waziri wa Nishati Mh. January ni kwamba kutokana na Wananchi kutopewa habari juu ya mikakati pamoja na kukatika umeme basi kitengo husika kimefeli hivyo kitengo hicho kibomolewe na kilete watu wengine.

Kazi za watu wa habari ni kuchukua habari kutoka kwa viongozi na watu wa fundi na kwenda kuhabarisha Wananchi. Hawatoi habari Kama wao.

Kitengo hiki kina watu zaidi ya 200 TANESCO Nzima nchini, na watu Hawa wanataaluma ya mambo haya tu, hata tanesco hawana spear ya watu Hawa, Ili watu Hawa waondolewe inabidi zitangazwe kazi, au watu wote Hawa walipwe uhamisho kwenda taasisi nyingine na waletwe watu kutoka kwingine ikiwemo halmashauri.

Toka matatizo ya umeme yameanza hatujaisikia Bodi mpya ya Tanesco ikitoa kauli yeyote angalau hata kuweka matumaini, wamepiga kimya.

Inavyoonekana huu mgao wa umeme wa chinichini utafukuzisha watu wa Tanesco sana.

Pia soma > Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika (Januari 25, 2022)
Duh watu 200 wa habari shirika la kuzalisha umeme? Hakika ni wengi kupindukia. Ndio maana tanesco badala ya kuzalisha na kusambaza umeme limekua shirika la watu wa kila aina kupiga hela huku serikali ikigharamikia uzembe na ulaji wa watumishi wake.
 
Tanesco ni kubwa na ina kazi nyingi, wataenda kufagia, kuwa masecretary nk...na wengine wapigwe chini maana watu 200 kitengo cha mawasiliano ni wengi sana...ni bora kutumia technolojia kuliko kulea watu wajinga.

Wanaleta mzaha huku uraiani kuna mamilioni ya wabongo hawana ajira..
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom