Kitengo cha habari CHADEMA mmelala sana, mnastahili lawama

Kwa kifupi hao watu kama wapo they need to be fired immediately. CDM need to think of this very fast, mfano kufanya live internet broadcasting ya mikutano yao itawagharimu sh. ngapi? Au wanasubiri wawe wanatokea bure TBC na ITV? Ilitakiwa kitengo hicho pia kiwe na kina Nape wakati huo huo wako na akina Slaa. Mnafanya instant reporting huku na kule hata kabla wao hawajaingia hewani.

Another opportunity ni kuanza kutengeneza clips kwa kuanzia ziwekwe you tube... Mfano hii juzi JK alivyosema maneno ya Nape ni yake pia what an opportunity? Zingetengenezwa clip za kutosha mpaka sasa. Namna hii watacontrol hata namna wapinzani wao wanavyosema. They would need to think twice.

Kwa ufupi ukifuatilia vyama vya siasa tanzania vinavyoendesha siasa zao(kihabari) utashangaa sana si CCM,CDM wala CUF
Uelewa wao ni kuonekana kwenye magazeti ambayo pengine husomwa na watu wachache na record zake kuishia siku hiyo ,pamoja na kwenye TV na radio wanasahau sana New and Social media.

Mfano wakati wa Operation sangara ya CDM hapa Kagera,walikuwa na utitiri wa waandishi zaidi ya 8 wanawalipa posho,fedha ya kujikimu nk lakini hakuna hata mmoja anayesfikiria kupost hata video ya dk 1 kwenye Youtube,JF,Facebook nk.Kama mtakumbuka mimi mwenyewe nilipost humu Video ya dk 2 bila kulipwa na mtu(kwa sababu si gharama kubwa) baada ya siku kama 4 lakini watu walionekana kuishangaa kwani ilionesha kuwa walikuwa hawajaona hicho kitu,Na mpaka leo ipo,itaendelea kuwepo kwa kizazi na kizazi.

kwa ufupi hivi vyama lao moja
Lakini tatizo hilo lipo kwenye mfumo wa nchi,watu wake nk mfano kumbuka issue ya Ndimbo pale Simba,kumbuka ya JK kwa mawaziri wake nk
 
Kwa ufupi ukifuatilia vyama vya siasa tanzania vinavyoendesha siasa zao(kihabari) utashangaa sana si CCM,CDM wala CUF
Uelewa wao ni kuonekana kwenye magazeti ambayo pengine husomwa na watu wachache na record zake kuishia siku hiyo ,pamoja na kwenye TV na radio wanasahau sana New and Social media.

Mfano wakati wa Operation sangara ya CDM hapa Kagera,walikuwa na utitiri wa waandishi zaidi ya 8 wanawalipa posho,fedha ya kujikimu nk lakini hakuna hata mmoja anayesfikiria kupost hata video ya dk 1 kwenye Youtube,JF,Facebook nk.Kama mtakumbuka mimi mwenyewe nilipost humu Video ya dk 2 bila kulipwa na mtu(kwa sababu si gharama kubwa) baada ya siku kama 4 lakini watu walionekana kuishangaa kwani ilionesha kuwa walikuwa hawajaona hicho kitu,Na mpaka leo ipo,itaendelea kuwepo kwa kizazi na kizazi.

kwa ufupi hivi vyama lao moja
Lakini tatizo hilo lipo kwenye mfumo wa nchi,watu wake nk mfano kumbuka issue ya Ndimbo pale Simba,kumbuka ya JK kwa mawaziri wake nk

Nimekumbuka kweli mkuu ile ya mbunge kuwekwa kitimoto huko!
Too bad sijui nani anawashauri chadema,..
sijui ndo tatizo la kuwa na mawazo ya mwaka 47 pia,..
wazo kama hili watakwambia ni kupoteza hela,...
duh,...
 
Hicho kitengo cha habari chenyewe kipo kweli?
nani kiongozi wake?
isije kuwa viongozi wa chadema wanaosoma humu wanatuona majuha
kwa kulalamikia kitu ambacho hakipo na hawana mpango nacho!

Ni sawa na kusema "mke wa speaker mbeya kweli",..
kumbe sina mke na sina mpango wa kuoa,ntakuona juha na sita kujibu!

Labda ndo maana mapendekezo kama haya hayajawahi kujibiwa
kamwe,....potezeeni tu,twendeleeni na mambo mengine!
 
CHADEMA! mbona mnaboa wapenzi na mashabiki??
naomba mtusikilize na mtafute solution ya hii kero maana ni muda mrefu watu wanapiga kelele nyinyi hamtoi ufafanuzi. tukiwapa nchi mtaweza kutusikiliza na kutatatua kero zetu?
tunaomba kitengo cha habari kiwe active!!!
 
CHADEMA! mbona mnaboa wapenzi na mashabiki??
naomba mtusikilize na mtafute solution ya hii kero maana ni muda mrefu watu wanapiga kelele nyinyi hamtoi ufafanuzi. tukiwapa nchi mtaweza kutusikiliza na kutatatua kero zetu?
tunaomba kitengo cha habari kiwe active!!!
Sidhani kama kipo mkuu,

Labda useme kitengo hicho kianzishwe,... too bad hata wagombea wa BAVICHA hamna hata mmoja alogusia udhaifu huu so ni desturi ya CHADEMA kutokuwa na kitengo cha habari, mtazipata magazetini huko
 
Kwa kweli mleta mada ameamsha hasira zetu kwa CDM, huu mnaofanya ni upuuzi wa hali ya juu, tunaamini CDM ina wasomi waliobobea katika fani zote, iweje leo wasifikirie kwa kasi swala la instant posts kwenye blogs mablimbali wakati wa mikutano yao?

Tuwakumbushe kuwa Maandamano ya ALGERIA, TUNISIA na Misri yalichagizwa kwa kiwangio kikubwa na mitandao, watu walifanya mobilization thru internet, leo hii nyie CDM mna simama na kudai kuwa ACCESSSIBILITY YA INTERNET NI % NDOGO YA WATANZANIA, nani kawadanganya.Huyo Erasto KITUMBOO KAMA HAJUI COMPUTER APELEKWE SHULE ili awe kwenye mstari wa kisasa.

Tunahitaji habari na picha thru internet.

Tatizo la CDM inaonekana mtu mbunifu ni Dr.SLAA TU, kwa mtaji huo hatutafika mbali. BADILIKENI CDM
 
Tayari dalili za CDM kulewa sifa zimeanza kushika kasi, ni aibu kwa chama kinachojijenga kushindwa kutoa taarifa kwa walengwa, yawezekana pia CDM wameanza kulewa na muitikio wa watu kwenye mikutano huku wakijisahau walengwa wanaohitaji kupata elimu juu ya CDM wanahitaji picha, habari, nyimbo na vyombo vingine vinavyoweza kufikisha ujumbe.

Wakumbuke kuwa wtanzania wanapitia sana internet kwa sasa kiasi kwamba kila taarifa zinazotoka ktk mtandao wakuwa nazo mapema na hivyo kutowafanya CCM waweweseke. Please fikisha ujumbe kwa wakati

someni gazeti la TANZANIA DAIMA KILA SIKU (SABI JOZEPHAT SIMON SANDA-0787 53 53 23); 0659 281964.
 
Kwa kweli mleta mada ameamsha hasira zetu kwa CDM, huu mnaofany a ni upuuzi wa hali ya juu, tunaamini CDM ina wasomi waliobobea katika fani zote, iweje leo wasifikirie kwa kasi swala la instant posts kwenye blogs mablimbali wakati wa mikutano yao??????

Tuwakumbushe kuwa Maandamano ya ALGERIA, tUNISIA na Misri yalichagizwa kwa kiwangio kikubwa na mitandao, watu walifanya mobilization thru internet, leo hii nyie CDM mna simama na kudai kuwa ACCESSSIBILITY YA INTERNET NI % NDOGO YA WATANZANIA, nani kawadanganya.Huyo Erasto KITUMBOO KAMA HAJUI COMPUTER APELEKWE SHULE ili awe kwenye mstari wa kisasa.
Tunahitaji habari na picha thru internet.
Tatizo la CDM inaonekana mtu mbunifu ni Dr.SLAA TU , kwa mtaji huo hatutafika mbali.BADIKENI CDM

omba radhi www emeagwali com
 
Hili nadhani ni wazo kuu sana.

Habari ndio msingi mkuu katika kujenga mahusiano na umma.

Pia kuna swali nimekuwa najiuliza kama hata wamefikiria labda kuwa na mawazo kama ya kuwa na "documentary" za kwenye kila oparesheni zao, then wananunua mda wa kwenye TV (kama wakina mzee wa upako wanawezo kununua mda) zetu hizi wanaonyesha lets saya hiyo documentary inakuwa ya opareshen Sangara, wanatoa ufafanuzi wa kina matukio yote hayo yaliyojiri huko..... wazo tu, linaweza kuboreshwa zaidi!

Pia wazo la hizo blog ni tamu sana, vitu kama picha za matukio, video clip... pia na ripot ya eneo la mkutano na agenda zilizokuwa discussed hapo na vitu vingine kama hivyo.

Hivi ni vitu vya msingi sana
 
Kwa kweli mleta mada ameamsha hasira zetu kwa CDM, huu mnaofanya ni upuuzi wa hali ya juu, tunaamini CDM ina wasomi waliobobea katika fani zote, iweje leo wasifikirie kwa kasi swala la instant posts kwenye blogs mablimbali wakati wa mikutano yao?

Tuwakumbushe kuwa Maandamano ya ALGERIA, TUNISIA na Misri yalichagizwa kwa kiwangio kikubwa na mitandao, watu walifanya mobilization thru internet, leo hii nyie CDM mna simama na kudai kuwa ACCESSSIBILITY YA INTERNET NI % NDOGO YA WATANZANIA, nani kawadanganya.Huyo Erasto KITUMBOO KAMA HAJUI COMPUTER APELEKWE SHULE ili awe kwenye mstari wa kisasa.

Tunahitaji habari na picha thru internet.

Tatizo la CDM inaonekana mtu mbunifu ni Dr.SLAA TU, kwa mtaji huo hatutafika mbali. BADILIKENI CDM

neendeni kwenye MIKUTANO YETU ILI MUWAONE WATU HALISI NA SI PICHA ZAO. KUHUSU NINI HASA HUWA WAMEFANYA KATIKA ENEO FULANI --SOMENI GAZETI LA TANZANIA DAIMA KILA NANOSECOND
 
Hivi hawa CHADEMA hawana kitengo cha habari? Mimi nashindwa kuelewa kwanini hawatoi picha kutoka katika mikutano yao ambayo watu wengi wanapenda kuona na kufahamu kinachoendelea katika mikutano hiyo, yaani ukitaka kupata picha unahangaika sana na wakati mwingine hatupati picha hata moja kutoka katika mikutano hiyo.

Cha kushangaza zaidi wanakuwa wanazunguka na waandishi na kuwalipa posho wakati wangekuwa wanatembea na Blogger mmoja ambapo akawa anatoa picha kwa wakati maana watu tunakuwa na hamu ya kuona kinachoendelea lakini hatupati.

Ushauri kwa Viongozi wa CHADEMA ni bora wakawa na Bloggers wakawa wanatoa picha kwa wakati kuliko kutembea na kundi la waandishi ambao habari zao zinapatikana siku ya pili bila ya kuwa na picha za kutosha. Hebu jaribuni kujifunza toka kwa Serengeti Breweries, Tigo na Vodacom ambao mara nyingi picha zao zinapatikana kwa wingi sana na kutoa coverage za kutosha.

Jamani jitahidini mtupatie picha za kutosha kutoka mikutano yenu.


SLAA, MBOWE, ZITTO, MNYIKA na wengineo mpo??? natumai ujumbe umewafikia changamkeni jamani, kuna faida sana ya kupata habari kamili kwa wakati.
 
Hili nadhani ni wazo kuu sana.

Habari ndio msingi mkuu katika kujenga mahusiano na umma.

Pia kuna swali nimekuwa najiuliza kama hata wamefikiria labda kuwa na mawazo kama ya kuwa na "documentary" za kwenye kila oparesheni zao, then wananunua mda wa kwenye TV (kama wakina mzee wa upako wanawezo kununua mda) zetu hizi wanaonyesha lets saya hiyo documentary inakuwa ya opareshen Sangara, wanatoa ufafanuzi wa kina matukio yote hayo yaliyojiri huko..... wazo tu, linaweza kuboreshwa zaidi!

Pia wazo la hizo blog ni tamu sana, vitu kama picha za matukio, video clip... pia na ripot ya eneo la mkutano na agenda zilizokuwa discussed hapo na vitu vingine kama hivyo.

Hivi ni vitu vya msingi sana
Mbona Mwalimu julius kambarage Nyerere HAKUWA NA BLOGS WALA DOCUMENTARIES
 
Mkuu unachoongea ni sahihi kabisa lakini kumbuka ukifanya live broadcasting unatoa nafasi hata kwa redio Ngara, au gazeti la kigoma au TV ya Peramiho kukunukuu exactly ulivyosema.

Cha msingi ni kutengeneza official site which can be reffered to. Tena this is cheaper kuliko hata kutembea na hao waandishi ambao sometimes ni hodari wa kupindisha habari iwe kusudi au bahati mbaya.

ni bora usingeandika hapa ulichokiandika--pole sana ila chukua hiyo zawadi The Personal MBA - Master the Art of Business - Josh Kaufman
 
Kwa ufupi ukifuatilia vyama vya siasa tanzania vinavyoendesha siasa zao(kihabari) utashangaa sana si CCM,CDM wala CUF
Uelewa wao ni kuonekana kwenye magazeti ambayo pengine husomwa na watu wachache na record zake kuishia siku hiyo ,pamoja na kwenye TV na radio wanasahau sana New and Social media.

Mfano wakati wa Operation sangara ya CDM hapa Kagera,walikuwa na utitiri wa waandishi zaidi ya 8 wanawalipa posho,fedha ya kujikimu nk lakini hakuna hata mmoja anayesfikiria kupost hata video ya dk 1 kwenye Youtube,JF,Facebook nk.Kama mtakumbuka mimi mwenyewe nilipost humu Video ya dk 2 bila kulipwa na mtu(kwa sababu si gharama kubwa) baada ya siku kama 4 lakini watu walionekana kuishangaa kwani ilionesha kuwa walikuwa hawajaona hicho kitu,Na mpaka leo ipo,itaendelea kuwepo kwa kizazi na kizazi.

kwa ufupi hivi vyama lao moja
Lakini tatizo hilo lipo kwenye mfumo wa nchi,watu wake nk mfano kumbuka issue ya Ndimbo pale Simba,kumbuka ya JK kwa mawaziri wake nk

sahau mambo ya njombe dar watu kibao hawajui mambo ya youtube
mambo ya youtube yanaonekani ni mambo ya kisharobaro sehemu kibao za jiji la dsm let alone njombe.
Ni rahisi kuona gazeti likiwa limeshikwa na mtu mwingine kuliko kuwa karibu na computer
internet ni kwa ajili ya middle class tu ndani ya bongo lakini wengine wote ni mwendo wa magazeti na redio
 
Hivi hawa CHADEMA hawana kitengo cha habari? Mimi nashindwa kuelewa kwanini hawatoi picha kutoka katika mikutano yao ambayo watu wengi wanapenda kuona na kufahamu kinachoendelea katika mikutano hiyo, yaani ukitaka kupata picha unahangaika sana na wakati mwingine hatupati picha hata moja kutoka katika mikutano hiyo.

Cha kushangaza zaidi wanakuwa wanazunguka na waandishi na kuwalipa posho wakati wangekuwa wanatembea na Blogger mmoja ambapo akawa anatoa picha kwa wakati maana watu tunakuwa na hamu ya kuona kinachoendelea lakini hatupati.

Ushauri kwa Viongozi wa CHADEMA ni bora wakawa na Bloggers wakawa wanatoa picha kwa wakati kuliko kutembea na kundi la waandishi ambao habari zao zinapatikana siku ya pili bila ya kuwa na picha za kutosha. Hebu jaribuni kujifunza toka kwa Serengeti Breweries, Tigo na Vodacom ambao mara nyingi picha zao zinapatikana kwa wingi sana na kutoa coverage za kutosha.

Jamani jitahidini mtupatie picha za kutosha kutoka mikutano yenu.

Dullo,

Huu ni Ushauri mzuri sana. We not on Jamii Forums just to rant, rant and rant. We just want to make a decent change and I hope this idea we're generating works. Long life to everyone supporting this
 
someni gazeti la TANZANIA DAIMA KILA SIKU (SABI JOZEPHAT SIMON SANDA-0787 53 53 23); 0659 281964.

we marehemu acha uzushi wako,sanda ya nini sasa?
unasema tusome Tanzania daima wewe kama nani?
we ndo msemaji wa chadema?
ficha u***** wako
 
sahau mambo ya njombe dar watu kibao hawajui mambo ya youtube
mambo ya youtube yanaonekani ni mambo ya kisharobaro sehemu kibao za jiji la dsm let alone njombe.
Ni rahisi kuona gazeti likiwa limeshikwa na mtu mwingine kuliko kuwa karibu na computer
internet ni kwa ajili ya middle class tu ndani ya bongo lakini wengine wote ni mwendo wa magazeti na redio

so wewe ni middle class,
hapa unafanya nini JF?
watu wengine bana,sijui mnatumia mananii kufikiria
 
Back
Top Bottom