YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Vyombo vingi vya habari viliacha kabisa kuandika au kutangaza habari za mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu baada ya kuona hawaoni waandike nini kwani hanadi sera
Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini
Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali
Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza
Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini
Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali
Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza