Umeme umekatika line moja, tumewaita wamekuja na wanataka ganji, kwa kua hatuna basi mama mmoja kawatoa na kidogo alafu wamemhamishia kwenye line yenye umeme na wamesepa! Hiv hawa jamaa wa emergency lazima walipwe wanapokuja kufanya kazi? Hawa si wana overtime na mishahara?
Wamenivuruga.
Wamenivuruga.