Kitengo hiki kilianzshwa enzi za awamu ya nne chini ya ofisi ya Rais na jukumu lake kuu lilikuwa ni UFUATILIAJI wa miradi ili itekekelezwe kwa ubora wa hali ya juu sana. Nauliza, tangu kitengo hiki kianzishwe matokeo gani makubwa yameonekana licha ya miradi mingi kutokamilika na zaidi kutekelezwa kwa kiwango cha chini. Nampongeza sana Mhe.Rais kuvunja kitengo hiki. Kweli Mhe.Rais umeona mbali.