Katika kujionyesha ni mtu wa chini Kinana amekuwa akifanya vituko vingi, mara akamue maziwa, mara apandea kijiko au baiskeli. Lakini hii sasa ni udhalilishaji wa askari wetu, kama anapenda kupanda pikipiki kwa nini asipande boda boda? Kwa nini hakupanda pikipiki za chama zilizo kila wilaya? Askari huyu alimwendesha kwa kupenda? Kama hakuwa amependa aliamrishwa na nani?