GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,486
- 108,650
Hatimaye aliyekuwa Mbunge wa CCM Jimbo la Nachingwea, Hasani Masala ambaye hakuweza kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kutimkia ACT Wazalendo mapema leo ameongea na waandishi wa habari kuwa amerudi CCM na kuomba radhi kwa mwenyekiti wa CCM na wana CCM pamoja na viongozi wa Wilaya.
Amesema atahakikisha mbunge aliyepitishwa na CCM anapita kwa kishindo na kura za rais na madiwani zinapatikana kwa wingi.
Masala amepokelewa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Nachingwea, Rafael Saanane, amempongeza Masala kwa kuomba radhi kwa rais pamoja wanachama wa Wilaya ya Nachingwea.
Uhuru
CCM yangu wakati tunaendelea Kujihadhari sana na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI nadhani na Virusi vya 'Kisiasa' kama hivi tuviepuke vile vile.
Amesema atahakikisha mbunge aliyepitishwa na CCM anapita kwa kishindo na kura za rais na madiwani zinapatikana kwa wingi.
Masala amepokelewa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Nachingwea, Rafael Saanane, amempongeza Masala kwa kuomba radhi kwa rais pamoja wanachama wa Wilaya ya Nachingwea.
Uhuru
CCM yangu wakati tunaendelea Kujihadhari sana na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI nadhani na Virusi vya 'Kisiasa' kama hivi tuviepuke vile vile.