The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Sasa sisi tufanyeje? Maana hujaeleweka kabisa...!
Unless, tuambie umesikia nini kutoka kwa huyo Dr Hosea...
Unless, tuambie umesikia nini kutoka kwa huyo Dr Hosea...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayeamini kuwa Christianity ndiyo dini ya kweli ya Mungu anaamini kwa dhati ya moyo wake kuwa yuko right. Vivyo hivyo wanaoamini kuwa Islam ndiyo dini ya kweli ya Mungu;Nilidhani serikali hii itakuwa smart kwenye kushughulika na Gwajima (Mchungaji) lakini kitendo cha waziri wa afya kuagiza mchungaji huyo akamatwe badala ya kujibu hoja zake kinaendelea kuthibitisha kuwa tuko kwenye mwendelezo wa utawala usiokubali mawazo na hoja mbadala.Serikali ilipaswa itambue kuwa kumkamata Gwajima ni kuutangazia umma kuwa serikali imeumbuliwa na mchungaji huyo...
sasa ndugu yangu embu fikiria tukienda wote kuchanja na dozi zenyewe zimekuja 1M tu ukizingatia sisi tupo 50M+ nani atachanja nani ataacha.Halafu wanapoona mwitikio kuwa Mdogo wasizani ni sababu ya Gwajima la hasha!
Baadhi ya waTZ wengi ni watu wa kupuuzia mambo, mtu anapewa miiko na daktari ili apone lakini anapuuza?!...
na uzuri Gwajima hajawaambia watanzania wote bali amewaambia kondoo wake ambao kimsingi ni wajibu wake kuwaongoza kule aonapo ni sahihiHoja hazipigwi rungu bali hujibiwa kwa hoja-JK
Kama wameshamjibu wampuuze! Watz siyo wajinga kiasi cha wote kuambiwa cha kufanya na Gwajima.
Niliposikia tangazo la Waziri Gwajma kwenye tiivi,nikiwa migombani moivo,nikashtuka nikajiuliza mmm,kumbe hata balozi wa nyumba 10 anaweza kuwaambia jeshi la polisi,takukuru,tiss,magereza nakuamuru wanitafute wanikamate niende kuandika maelezo,nikajiuliza kirahisi hivyo tu.Nilidhani serikali hii itakuwa smart kwenye kushughulika na Gwajima (Mchungaji) lakini kitendo cha waziri wa afya kuagiza mchungaji huyo akamatwe badala ya kujibu hoja zake kinaendelea kuthibitisha kuwa tuko kwenye mwendelezo wa utawala usiokubali mawazo na hoja mbadala...
Hoja za kitaalamu zimetolea sana ila watu hawaziamini na nadhani kwa sababu ni jana tu serikali hii hii ilizikataa hizo hoja ambazo wanazitoa leo. Kumbuka sampuli za mapapai, mbuzi nk. alichokifanya mwenda zake na watu wakashangilia. Watu walisahau kuwa kwenye computer huwa ni "gabbage in gabbage out". Huwezi kupata jibu sahihi katika research yeyote kama umekosea kukusanya data.Nilidhani serikali hii itakuwa smart kwenye kushughulika na Gwajima (Mchungaji) lakini kitendo cha waziri wa afya kuagiza mchungaji huyo akamatwe badala ya kujibu hoja zake kinaendelea kuthibitisha kuwa tuko kwenye...