wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,173
- 1,127
Tumefungua juzi tu ubalozi huko Israel wewe ukiwa mshauri wa CCM wa mambo ya foreign sasa wakati wenzako wanajadili wazo lako la kufungua ubalozi we umepita mlango wa nyuma unakuja kufitini.?!
WAARABU WATU WA AJABU SANA,NDIO MAANA WANA ROHO MBAYA
Aman iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habal jabo juu
Mimi nasikitishwa sana na hawa ndugu zetu wa kitabu cha khaki, kitabu kisichokuwa na shaka ndan yake kuanzisha uadui na iran muisilam mwenzao asiye na hatia na kumuacha Israel adui yao mkubwa ambaye anakalia kwa mabavu maeneo ya waarabu ya nchi ya parestina na kuua watu wasio na hatia
Iv hawa watu wa kitabu kisicho na shaka ndan yake wana matatizo gan
Nawasilisha
Wenye roho nzuri ni akina nani hadi uone waarabu wana roho mbaya?WAARABU WATU WA AJABU SANA,NDIO MAANA WANA ROHO MBAYA
Duh! ina maana wao ni jino kwa jino na sio ukipigwa shavu la kushoto geuza la kulia? hakuna kumuachia mungu.Usicheze na Israel,nchi inayoweza kubadilishana mateka wao mmoja na mamia ya wapalestina!
Halafu mimi principal yao ndio inanifurahisha,ukitungua mmoja wao wanatungua mara 20 yake!
Wairani sio waarabu wale ni Persian JewsAman iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habal jabo juu
Mimi nasikitishwa sana na hawa ndugu zetu wa kitabu cha khaki, kitabu kisichokuwa na shaka ndan yake kuanzisha uadui na iran muisilam mwenzao asiye na hatia na kumuacha Israel adui yao mkubwa ambaye anakalia kwa mabavu maeneo ya waarabu ya nchi ya parestina na kuua watu wasio na hatia
Iv hawa watu wa kitabu kisicho na shaka ndan yake wana matatizo gan
Nawasilisha
Israel ni Nchi Hatari Sana Ndugu - Makampuni Ya Wayahudi Ndio Yameshika Dunia Hasa Kwenye Masuala ya Communications TechnologyAman iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habal jabo juu
Mimi nasikitishwa sana na hawa ndugu zetu wa kitabu cha khaki, kitabu kisichokuwa na shaka ndan yake kuanzisha uadui na iran muisilam mwenzao asiye na hatia na kumuacha Israel adui yao mkubwa ambaye anakalia kwa mabavu maeneo ya waarabu ya nchi ya parestina na kuua watu wasio na hatia
Iv hawa watu wa kitabu kisicho na shaka ndan yake wana matatizo gan
Nawasilisha
Lazima iwe hatari maana nasikia hilo taifa linalindwa,hivyo yote wanayotafanya wamepata baraka kutoka mungu na ndiyo njia mungu anayoitumia kulinda hilo taifa.Kama ndo hivyo bas hao jamaa ni hatar sanna
Kibaka kama wewe.Ndugu yangu hutapata hoja za maana jf siku hizi imejaa vibaka