JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,715
Nimekua najiuliza swali kila ninapoona mkutano wa mkulu akiongea na viongozi mbalimbali Ukumbi wa Kikwete. Ikitokea mkulu kamtaja moja wapo wa viongozi waliopo ukumbini katika hotuba yake lazima uyo kiongozi tajwa asimame halafu ainame hivi kuelekea kwa mkulu.
Huu utaratibu nimeuona sana kwenye drama za kale za kikorea, sasa najiuliza huu ni utaratibu rasmi wa ki protokali? na ulikuwepo awamu zote au ndo umeshamiri awamu hii?
Naelewa kusimama kama ishara ya kujitambulisha kama umetajwa ili wasiokujua wamuelewe mkulu, ila kitendo cha kuinama kusujudu huwa sijaelewa.
Kama kuna mtaalamu wa protokali anieleweshe.
Huu utaratibu nimeuona sana kwenye drama za kale za kikorea, sasa najiuliza huu ni utaratibu rasmi wa ki protokali? na ulikuwepo awamu zote au ndo umeshamiri awamu hii?
Naelewa kusimama kama ishara ya kujitambulisha kama umetajwa ili wasiokujua wamuelewe mkulu, ila kitendo cha kuinama kusujudu huwa sijaelewa.
Kama kuna mtaalamu wa protokali anieleweshe.