Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Tuliwaambia ccm kuzuia mikutano ya siasa ni kitanzi kwenu awakusikia, tuliwaambia msizuie wapinzani kuongea waacheni waongee ili ukifika mda wa kampeni wasiwe na mapya ya kuongea awakusikia, Leo ccm wanakula mashambulizi makali kila Kona awajajibu hili ili linafata cheki ishu ya vitambulisho vya machinga, ishu ya cheti Cha kuzaliwa Cha mgombea wao, uporwaji wa ardhi karagwe hawana majibu, hoja ya ndege imebuma. Wamebakia kucheza singeli tu majukwaani.
 
Ccm hawana kipya cha kuongea zaidi ya sgr, mabeberu, flyover, ndege awajui hata Ni eneo gani uongelee hayo ajabu hata vijijini wanawaambia tumejenga flyover ambao kuelewa flyover au ndege mtu wa kijijini Ni lzm uwe na projecta.
Wamepoteana kweli kweli Hakuna Cha nape Wala musiba wa kujibu hoja.
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Hivi mtu anayekubalika huwa anazomewa?????Huyu jamaa amezomewa Katoro Geita.

Kwa taarifa yako Tundu Lissu hapati hata jimbo moja kanda ya ziwa.
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Bro watapoteana humu we subiri uone.
 
Jiwe hafai nakwambia!! Ndo mana hata kwao wamemkataa. Huyu jamaa ana roho mbaya haijawai tokea muulize yule mfanyabiashara wa Mwanza na Musoma Peter Zacharia aliyekuwa rafiki yake atakwambia
Siyo Mwanza na Musoma, ni tarime na mwanza ndiko magari yake yanafanya safari zake
 
Mkuu Ruttashobolwa , asante sana kwa kuwaeleza watu humu ukweli huu, japo watu humu watakubeza, lakini ukweli siku zote, una tabia moja, husimama mpaka mwisho.
Maadam tarehe 28 inakuja, tusiendelee kuandikia mate wakati wino upo!.

Ila pia kuna kitu umewasaidia hawa waota ndoto mchana bila wao kujijua, umewaokoa na kupata ugonjwa wa depression kutokana na too great expectations, kuwa mtu wao atashinda, hivyo ukweli kama huu unawasaidia kuwaandaa kisaikolojia kupokea kipigo cha mwaka, hivyo watakaposhindwa, wataishia kuumia tuu lakini hawata athirika kisaikolojia, na namna pekee ya kujifariji itakuwa ni kulia sana kwa kupiga makelele ili kuondoa machungu.

p
Cha kushangaza sa ni kuwa kila anaesema CCM itashinda hataji sababu, kuna nini hicho kilichojificha ambacho kitaifanya CCM ishinde hata mahali isipopendwa kabisa kama Kagera na pahari pengine ambako haisemwi vizuri?
hiyo imani kubwa mliyo nayo inatokana na nini? kuna siri gani? hebu mtujuze .
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Inaashiria HURUMA NA MSHANGAO waliona watu wa Kanda ya Ziwa kuhusu Lissu na zile risasi 16 za ndege! Ndio kisa cha wao kufurika hivyo. No more no less!
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
unless your myopic kada
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Rutashobolwa Ruttashobolwa Ruttashobolwa ninani aliyekuloga? Amin nakuambia lissu atashinda hata kabla ya jogoo wa tatu hajawika ..na ndipo mtakapolia na kusaga meno ..tubuni dhambi zenu kabla Mambo hayajaharibika ..ohooo shauri yenu
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Waambie, mambo ya mitandaoni wanadhani ndio kura zenyewe
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Bado mnahesabu mafuriko, hamjifunzi jambo!
Twende sawa, kitendo cha majaliwa kupiga shoo ya uhakika kilimanjaro na umati wa watu maana yake nini?
 
Mkuu Ruttashobolwa , asante sana kwa kuwaeleza watu humu ukweli huu, japo watu humu watakubeza, lakini ukweli siku zote, una tabia moja, husimama mpaka mwisho.
Maadam tarehe 28 inakuja, tusiendelee kuandikia mate wakati wino upo!.

Ila pia kuna kitu umewasaidia hawa waota ndoto mchana bila wao kujijua, umewaokoa na kupata ugonjwa wa depression kutokana na too great expectations, kuwa mtu wao atashinda, hivyo ukweli kama huu unawasaidia kuwaandaa kisaikolojia kupokea kipigo cha mwaka, hivyo watakaposhindwa, wataishia kuumia tuu lakini hawata athirika kisaikolojia, na namna pekee ya kujifariji itakuwa ni kulia sana kwa kupiga makelele ili kuondoa machungu.

p
You lost miserably during primary elections so pathetic ....kwanza sikujuwa wewe ni kada wakujifishia kwenye kichaka cha fake journalism.Mkuu nilikua na kuhesimu sana kabla ya kupate kura 1 tuu kwenye kura zamaoni kumbe hata maCCM hawakutaki kwenye mambo yako yakujipendekeza kinafki.

Take this, in a free and fair election environment hata kwa mzee Hashmu Rungwe Supunda Magufuli hawezi kufurukuta.Kwa safari hiyi ni nguvu ya umma tuu hakuna negotiation 28th Oct sio mbali wait.
 
Hiyo haitasaidia zaidi ya kumuongezea Lissu kura na umaarufu.
Unabishana sana kama sio kubalishana ufahamu, Unachotakiwa kufahamu ni kwamba CCM ni chama Tawala na ni chenyewe tuu ndio kitashindana na chenyewe. N a kama hakitovunjika hakuna siku chama kingine kinaweza kutawala nchi hii.

Kinatumia mfumo wa political Governance :

Ni kutumia Mali zote nchi ilizonazo fedha, watu, Physical Infrastructure, Super stracture, Uhusiano wa wananchi ndani na uhusiano wa wananchi na jamii nyingine, vipaji vya ndani ya nchi na kutumia vipawa kila mwananchi alichonacho.

Na vipaji au vipawa vinavyo azimika kama vitaleta manufaa, wazo au kitu chochote kitakacho kupa urahisi wa kuiweka jamii yako salama na kwenye maendeleo.

Wewe hapo ni CCM bila kujifahamu, kwa kuwa wazo lolote labda liwe la kijinga au halitekelezeki hawato lichukua vinginevyo watalifanyia kazi.

CCM sio chama cha kufikirika, kwa hiyo hauwezi kukiondoa ila utakua IRRITANT tuu.
 
You lost miserably during primary elections so pathetic ....kwanza sikujuwa wewe ni kada wakujifishia kwenye kichaka cha fake journalism.Mkuu nilikua na kuhesimu sana kabla ya kupate kura 1 tuu kwenye kura zamaoni kumbe hata maCCM hawakutaki kwenye mambo yako yakujipendekeza kinafki.

Take this, in a free and fair election environment hata kwa mzee Hashmu Rungwe Supunda Magufuli hawezi kufurukuta.Kwa safari hiyi ni nguvu ya umma tuu hakuna negotiation 28th Oct sio mbali wait.

Mjue uwezekano wa kushindwa upo ili depression kama ingeweza kutokea kwa kupata matokeo halisi, isije kutokea.
Nina wasi wasi matokeo ya uchaguzi huu, yatakuwa mabaya kwa upinzani kuliko wakati wowote ule tangu kuanzishwa kwa siasa za vyama vingi.

Natanguliza pole.
 
Labda niandike nilichokificha ili uelewe vizuri uzi huu , kabla ya ujio wa Lissu watu wa Geita walikuwa wanatangaziwa kwa kisukuma kwamba Kuhudhuria mkutano wa Lissu ni Usaliti , ikiwa kama Magufuli anatakiwa kiasi unachokisema ilikuwaje jambo hili litangazwe kwa umma ? hata hivyo wananchi wamepuuza kinyama
Duhh nchi hii ni kubwa aisee yaani kuna mahali wanazuiwa kumsikiliza mgombea wa upinzani !!? Kwa kweli utawala wa aina hii ni wa kupigwa vita
 
Mjue uwezekano wa kushindwa upo ili depression kama ingeweza kutokea kwa kupata matokeo halisi, isije kutokea.
Nina wasi wasi matokeo ya uchaguzi huu, yatakuwa mabaya kwa upinzani kuliko wakati wowote ule tangu kuanzishwa kwa siasa za vyama vingi.

Natanguliza pole.
The problem nyie maCCM u hate the truth ...mungeruhusu kuwe Opinion poll that pre-Election survey with credible research consultancy nawakika mungekata tamaa kushiriki uchaguzi mapema.Huwu uchanguzi nikati ya wakandamizi na wakandamizwaji, wauwaji na wapenda haki, watekaji na mateka,wabaya na wema n.k in that order
 
Back
Top Bottom