Reykijaviki
JF-Expert Member
- Aug 25, 2020
- 426
- 652
Hiyo ndio demokrasia sio ukubalike sehemu zote.Sasa sikilizia mziki wake kwani unafikiri Chadema hawawezi kuandika mabango? Najua wataishia lockup! Ila wataandika.Hizo ndizo picha halisi zikinazo onyesha joto analolipata kanda hii. Hizo zingine za kwao ni za kubumba. Leo alikuwa afanye mkutano katika viwanja vya shule ya msingi Mabatini, wilaya ya Ilemela mkoa Mwanza. Hakuna hata mtu mmoja aliyehudhuria, mkutano ukaahirishwa. Lakini kesho tutaoneshwa mafuriko aliyoyapata Ilemela jijini Mwanza. Figisu tupu.